Tafakuri baada ya Hotuba #1 ya Lissu

Tafakuri baada ya Hotuba #1 ya Lissu

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Hotuba ya kwanza ya Lissu ilikuwa jana. Basi kama ilivyo kwa makombora tulitegemea majibu thabiti kutokea ule upande mwingine.

"Kinyume chake kumepiga kimyaaaa!"

Kwa kimya kingi hiki ni wazi kuwa:

1. Mama hana uungwaji wowote mkono kwenye huku alikotufikisha na hali hii ya maisha, ikiwamo bei za vyakula ambazo sasa ni za juu mno.

2. Mama hana uungwaji mkono wowote kuhusiana na wingi wa tozo na kodi kwa watu.

3. Mama hana uungwaji mkono wowote kwenye matumizi na utumbuaji wa kufuru unaofanywa na walioko madarakani, almaarufu walamba asali.

4. Mama hana uungwaji mkono kwenye lolote jipya kwamba kuna tumaini la kuirekebisha hali iliyopo.

Izingatiwe Mh. Lissu kawasemea watanzania wa daraja zote (bila kuwasahau chawa wa Mama), labda isipokuwa wale wanaolamba asali. Ambapo ni wazi kuwa sote ni wahanga tu.

Mh. Lissu ameonyesha katiba mbovu tuliyo nayo ndiyo inayotoa mianya iliyotudidimizia huku kusikofaa.

Habari hIzi zimfikie Mama Samia kokote aliko: "tunataka kutoka huku."

Tunataka katiba mpya sasa.
 
Wanajibu hoja kwa kuuliza mbona Lissu alimuulizia Mbowe pale uwanja wa ndege na Mbowe hakuwepo?

Mwishowe wanamalizia kujibu hoja za Lissu kwa kusema, Chadema kuna mgogoro, kwao bora wajiliwaze tu!.
 
Wanajibu hoja kwa kuuliza mbona Lissu alimuulizia Mbowe pale uwanja wa ndege na Mbowe hakuwepo?

Mwishowe wanamalizia kujibu hoja za Lissu kwa kusema, Chadema kuna mgogoro, kwao bora wajiliwaze tu!.

Hili la kwanza mbona kama ni mvua basi ni za vuli tu? Ngoja za masika zije.

"Si hata ajira walisema wao hawahusiki? Elimu ya juu nako ni yale ya "Law School" kuyataja kwa uchache?"

Kama hapatakuwa fire basi mbona patachimbika!
 
Hawa Sukuma Gang siyo? Tuliwaambia adui yao siyo Chadema bali Msoga Gang wao hawaelewi

Wameaswa kujitokeza na kujisimamia wenyewe hadharani (ushauri kuntu kabisa) vinginevyo watafutwa kwenye vitabu vya historia.

Ngoja tuone kama Umoja Party watagutuka usingizini.

"They've to fight (now) or perish."

Vidonge kutema au kumeza ni shauri yao. 🤣🤣
 
Hotuba ya kwanza ya Lissu ilikuwa jana. Basi kama ilivyo kwa makombora tulitegemea majibu thabiti kutokea ule upande mwingine.

"Kinyume chake kumepiga kimyaaaa!"

Kwa kimya kingi hiki ni wazi kuwa:

1. Mama hana uungwaji wowote mkono kwenye huku alikotufikisha na hali hii ya maisha, ikiwamo bei za vyakula ambazo sasa ni za juu mno.

2. Mama hana uungwaji mkono wowote kuhusiana na wingi wa tozo na kodi kwa watu.

3. Mama hana uungwaji mkono wowote kwenye matumizi na utumbuaji wa kufuru unaofanywa na walioko madarakani, almaarufu walamba asali.

4. Mama hana uungwaji mkono kwenye lolote jipya kwamba kuna tumaini la kuirekebisha hali iliyopo.

Izingatiwe Mh. Lissu kawasemea watanzania wa daraja zote (bila kuwasahau chawa wa Mama), labda isipokuwa wale wanaolamba asali. Ambapo ni wazi kuwa sote ni wahanga tu.

Mh. Lissu ameonyesha katiba mbovu tuliyo nayo ndiyo inayotoa mianya iliyotudidimizia huku kusikofaa.

Habari hIzi zimfikie Mama Samia kokote aliko: "tunataka kutoka huku."

Tunataka katiba mpya sasa.
Huyo hatakiwi kujibiwa,atoswe,akijibiwa itakuwa ligi ya kijinga
 
Zamani walikuwa wakijitokeza wengi kwasabb matusi yalikuwa yanaruhusiwa.

Sasa matusi hayaruhusiwi unategemea ndani ya ccm ni nani ana hoja kuntu za kumjibu Lisu ??

Wazee wa mitusi wako wengi mfano akina Kibajaji, Heri James, n.k
 
Huyo hatakiwi kujibiwa,atoswe,akijibiwa itakuwa ligi ya kijinga
Kama nakuona hapo mkuu:

images (1).jpeg


Katika ubora wako. 🤣🤣
 
Back
Top Bottom