Tafakuri Jadidi ya Maggid Mjengwa kuhusu afya ya Profesa Jay ambaye amelazwa Muhimbili

Tafakuri Jadidi ya Maggid Mjengwa kuhusu afya ya Profesa Jay ambaye amelazwa Muhimbili

Makala nzuri, ila its more about Maggid kuliko Prof...

Anyway kwa kutumia kalamu yako huenda ni wakati kama jamii tukajitafakari kwamba gharama za matibabu kwa nchi yetu hii ambayo sio ya kibepari sio rafiki kwa wengi wetu..., Ni wengi wanakufa / watakufa kutokana na gharama ambazo sio friendly....

Sisemi vitu viwe bure, bali huenda tukiongeza vipato vya watu wetu basi kila mmoja ataweza kutibiwa kwa gharama ambazo ni affordable...

Pia kama jamii tubadilike katika mambo kama ya kuchangia organs pindi mtu anapokufa (sio busara hivi viungo vikawe chakula cha funza)
Aah wewe ndio unaipokea vibaya, mwandishi alikuwa anajaribu kuelezea yeye kamfahamia wapi Profesa Jay, maana kuna ile watu kuonekana kufakamia kuongelea watu (hata ikiwa kwa huruma) ndio maana akafafanua kamjulia wapi,
 
Mungu akakutetee Joseph Haule mkono wa Mungu mwenye nguvu ukakuguse hapo ulipo lala kwa maradhi na utaamka ukiwa mwenye afya njema, let the power of the Lord come down from heaven above, be heald, be cured, rise again from that sickbed in Jesus name Amen[emoji120]
 
Mungu akakutetee Joseph Haule mkono wa Mungu mwenye nguvu ukakuguse hapo ulipo lala kwa maradhi na utaamka ukiwa mwenye afya njema, let the power of the Lord come down from heaven above, be heald, be cured, rise again from that sickbed in Jesus name Amen[emoji120]
Humble Guy down to earth with Lovely heart and care for others,Wishing Prof.J very quick recovery and steady one in JESUS NAME [emoji120]
 
Kumchangia Jay ni muhimu Sana .Atapona mwalimu na mburudishaji wetu,prof.Joseph Haule.Uprofesa wa heshima mbele ya umma umekuwa halisi kuliko maprofesa wa darasani eg.Kabudi na Lipumba.
 
Mungu amjaalie Prof Jay apone mapema kadri mungu atakavyo.
 
Back
Top Bottom