..aaah! kwahyo huwa wanaangalia njia ipo sawa ama haipa sawa....? Aisee hii kazi nisingeliiweza maana ningelipata kesi.Mficha uchi hazai..!
Madokta wa kiume wanajali sana kuliko wa kike
Mimi nikienda hospital nikikuta dokta ni wa kike Nanuna...!
Kiongoz uchi ni uchi tu haijalish wa mjamzito au sio, kwani hujawahi kukutana kesi za ubakaji za namna hii..? doctor nae ni binadamu sio robotUna mawazo ya kijinga Sana kichwani mwako
Huo uchi wa mama mjamzito unaweza kuutamani?
Nchi imebarikiwa kuwa na hadhina ya watu wenye fikra duni
sawa...hvi imeshindikana nin kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hvyohvyo.
Mficha uchi hazai..!
Madokta wa kiume wanajali sana kuliko wa kike
Mimi nikienda hospital nikikuta dokta ni wa kike Nanuna...!
[/QUOT
Huu Sasa uhuni.......kununa kabisa?!
Mimi nikienda hospital nikikuta dokta ni wa kike Nanuna...!
Wewe ulisema utanipiga makwenzi😔😊
ngoja ninyamaze...
Ni sawa kiongoz mwenye wivu ndo rijal haiwekan mwanamke anashikwa tak* mbele yangu nikafurahia...iyo ya bodaboda kwa sababu sio dhahir nikijua lazima nichukue hatua.Wivu hadi Kwa Madaktari Mkuu?
Kama akiamua kukigawisha hata mwendesha Bodaboda atapewa tu
Huku kwetu kuna zahanat moja, kuna doctor mmoja ashughulika na maswala ya wajawazito, anatabia, ukpeleka mkeo kuanza clinic ya ujauzito, kuna ile baada ya vipimo vya HIV na ki semina kidogo cha mr & mrs kuhusu maendeleo ya ujauzito, anakuamru mwanaume utoke nje, sasa yule doctor anatabia ya kutomasa wake za watu, anawavua na anawashka kla sehem. Ila dawa yake ipo, tumepanga kumtwanga. Bro kama upo hapa JF, sku za kuuguza manundu zimekarbia kwakoUnampeleka mkeo mjamzimto hosptal ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime nji na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.
Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa...hvi imeshindikana nin kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hvyohvyo.
Hili linaweza kushawishi ata wakataka kuonja onja hawa....kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.
Hili kwako linakupa tafakuri gani?
Umeona sasa kiongoz nilijua kesi za namna hii zitakuwepo tuHuku kwetu kuna zahanat moja, kuna doctor mmoja ashughulika na maswala ya wajawazito, anatabia, ukpeleka mkeo kuanza clinic ya ujauzito, kuna ile baada ya vipimo vya HIV na ki semina kidogo cha mr & mrs kuhusu maendeleo ya ujauzito, anakuamru mwanaume utoke nje, sasa yule doctor anatabia ya kutomasa wake za watu, anawavua na anawashka kla sehem. Ila dawa yake ipo, tumepanga kumtwanga. Bro kama upo hapa JF, sku za kuuguza manundu zimekarbia kwako
Ukiweza msindikize hadi Labor MkuuNi sawa kiongoz mwenye wivu ndo rijal haiwekan mwanamke anashikwa tak* mbele yangu nikafurahia...iyo ya bodaboda kwa sababu sio dhahir nikijua lazima nichukue hatua.