kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Kisa ni kwamba wanawake wanaogopa sayansi, ikabidi wanaume waibuke na hiyo fani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaa Kuna watu mna mawazo negative aise au ni tatzo la akili coz it's not normal mtu kuwaza hivi, kwanza unajua uchungu wewe? Yani ushikwe na uchungu unaanzia wapi kupata hisia Madaktari wa kiume tunawependa coz wanajua kuhudumia na hawana visirani Wala huwezi kukuta mwanaume ana gomba gomba tofauti na manesi wakike wanakuaga na visirani mda mwingineHili akiwa anakushika unavuta hisia ya dyudyu? Sio???
Issue ndogo sana hii, mpeleke mkeo akasomee udaktari ili asaidie na wengineUnampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.
Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.
Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.
Hili kwako linakupa tafakuri gani?
Well mama yangu sasa hivi ni bibi tena bibi kweli kweliKama ndio hivyo je unaweza kumtia vidole na kumzalisha mama yako?
No hard feelings.
Pelekeni hayo mashtaka ngazi za juu mbona hawa maboss zao akina DMO/TMO wanasikiliza hizo kero nakuzifanyia kazi ndugu kulalamika tu sio jawabuHao wanawake wanaofanyiwa vitendo hivyo ndio wanaoleta malalamiko kwa waume zao
Huwa mnamuonaje wakati anawatoa njeHuku kwetu kuna zahanat moja, kuna doctor mmoja ashughulika na maswala ya wajawazito, anatabia, ukpeleka mkeo kuanza clinic ya ujauzito, kuna ile baada ya vipimo vya HIV na ki semina kidogo cha mr & mrs kuhusu maendeleo ya ujauzito, anakuamru mwanaume utoke nje, sasa yule doctor anatabia ya kutomasa wake za watu, anawavua na anawashka kla sehem. Ila dawa yake ipo, tumepanga kumtwanga. Bro kama upo hapa JF, sku za kuuguza manundu zimekarbia kwako