Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda nikuulize swali kiongoz wew ndo upo kwenye kitengo cha kuzalisha mara paap mama yako mdogo, dada, au shangaz yako ndo ameletwa kujifungua utamfanyia huduma..?Acha mawazo hayo ndugu.Ni kweli unaweza kuanguka mtegoni.Lakini,maadili ya kazi yapewe kipaumbele.Laa sivyo,wafwaaaa!Miaka "salasini" jela itakuhusu.Chagua.
Maadili na uhusiano vitanitetea.Umeeleza kuhusu kujifungua tu.Je,ikiwa anakaribia kufa na mimi ndiyo daktari natakiwa nimguse matiti ili apone itakuwaje?Labda nikuulize swali kiongoz wew ndo upo kwenye kitengo cha kuzalisha mara paap mama yako mdogo, dada, au shangaz yako ndo ameletwa kujifungua utamfanyia huduma..?
Anaichukulia papuchi kivingine kwa sababu anaona zilizo komaa na zina manyoya.Zikiwa plain kama uwanda wa Kalahari hawezi ziogopa.Real thriller in Manila!Kwenye masuala ya afya k inajulikana kama kiungo cha uzazi na wala hatujui kama huwa inatiwa
Kweli wewe mideko.🤣Bora nizalishwe na wanaume Kuliko wanawake baadhi ni 🚮🚮🚮
Haki wanaume waungwana Sana.Kweli wewe mideko.🤣
MashaAllah!Naomba ukipata ujauzito nikupatie huduma ya kujifungua.😎🙏Haki wanaume waungwana Sana.
Waliopo wananitosha 😅😅MashaAllah!Naomba ukipata ujauzito nikupatie huduma ya kujifungua.😎🙏
Dah!Basi niwe hata yaya tu.Waliopo wananitosha 😅😅
Kwanza sio 'k' zote zinavutia! Nyingine ni mbaya! Zina sura mbaya! Zinanuka! Zimeoza magonjwa ya zinaa kiasi hukitoka hapo hata hamu ya kula huna. Ndo maana madakitari wote ni walevi/wanywaji ili kuzima data kudeal na hali hiiUnampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.
Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.
Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.
Hili kwako linakupa tafakuri gani?
SubhanAllah!Maneno hayo!Kwanza sio 'k' zote zinavutia! Nyingine ni mbaya! Zina sura mbaya! Zinanuka! Zimeoza magonjwa ya zinaa kiasi hukitoka hapo hata hamu ya kula huna. Ndo maana madakitari wote ni walevi/wanywaji ili kuzima data kudeal na hali hii
🤣🤣🤣🤣🤣Dah!Basi niwe hata yaya tu.
Hili akiwa anakushika unavuta hisia ya dyudyu? Sio???Hao madaktari wa kiume ndo wazuri asilomia kubwa wanawake tuna penda madaktari wa kiume
Hujajibu swali ikiwa mama au dada ako utamzalisha?Kwanza sio 'k' zote zinavutia! Nyingine ni mbaya! Zina sura mbaya! Zinanuka! Zimeoza magonjwa ya zinaa kiasi hukitoka hapo hata hamu ya kula huna. Ndo maana madakitari wote ni walevi/wanywaji ili kuzima data kudeal na hali hii
mbona huwazi yule jamaa anaepelekewa uchi na mkeo anaunyandua mpaka asubuh si anaugeuza geuza tena wakikutukana alafu unawaza madaktari ambao hawana time na mkeoUnampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.
Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.
Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.
Hili kwako linakupa tafakuri gani?
sawaMpaka pale siku utakapo ombwa mzigo au kushikwa shikwa.