Tafakuri: Madaktari bingwa wa wanawake kuwa wanaume imekaaje?

Tafakuri: Madaktari bingwa wa wanawake kuwa wanaume imekaaje?

Acha mawazo hayo ndugu.Ni kweli unaweza kuanguka mtegoni.Lakini,maadili ya kazi yapewe kipaumbele.Laa sivyo,wafwaaaa!Miaka "salasini" jela itakuhusu.Chagua.
Labda nikuulize swali kiongoz wew ndo upo kwenye kitengo cha kuzalisha mara paap mama yako mdogo, dada, au shangaz yako ndo ameletwa kujifungua utamfanyia huduma..?
 
Labda nikuulize swali kiongoz wew ndo upo kwenye kitengo cha kuzalisha mara paap mama yako mdogo, dada, au shangaz yako ndo ameletwa kujifungua utamfanyia huduma..?
Maadili na uhusiano vitanitetea.Umeeleza kuhusu kujifungua tu.Je,ikiwa anakaribia kufa na mimi ndiyo daktari natakiwa nimguse matiti ili apone itakuwaje?
 
Kwenye masuala ya afya k inajulikana kama kiungo cha uzazi na wala hatujui kama huwa inatiwa
 
Unampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.

Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.

Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.

Hili kwako linakupa tafakuri gani?
Kwanza sio 'k' zote zinavutia! Nyingine ni mbaya! Zina sura mbaya! Zinanuka! Zimeoza magonjwa ya zinaa kiasi hukitoka hapo hata hamu ya kula huna. Ndo maana madakitari wote ni walevi/wanywaji ili kuzima data kudeal na hali hii
 
Kwanza sio 'k' zote zinavutia! Nyingine ni mbaya! Zina sura mbaya! Zinanuka! Zimeoza magonjwa ya zinaa kiasi hukitoka hapo hata hamu ya kula huna. Ndo maana madakitari wote ni walevi/wanywaji ili kuzima data kudeal na hali hii
Hujajibu swali ikiwa mama au dada ako utamzalisha?
 
Unampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.

Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.

Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.

Hili kwako linakupa tafakuri gani?
mbona huwazi yule jamaa anaepelekewa uchi na mkeo anaunyandua mpaka asubuh si anaugeuza geuza tena wakikutukana alafu unawaza madaktari ambao hawana time na mkeo
 
Wanawake wanaokufa wakati wanajifungua hospitalini,utakuta walikuwa wakihudumiwa na wakunga wakike,Fanya uchunguzi mkuu
 
Back
Top Bottom