Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Uzi uzuri,ila wanao reply NI WATOTO
Una uzuri gani labda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi uzuri,ila wanao reply NI WATOTO
You've never bothered meSorry...hope we cool now!
Ni kosa kwa mwanaume kuona UCHI WA MWANAMKE AMBAYE SIO WAKE.acha kuugusa au kuushika.ni vyema wanawake waka deal na wanawake wenzao.Una uzuri gani labda?
Hahahahahaha!!!Wakati wenzenu wanasoma, nyie mlikua mnaweka vioo chini ya dawati kuangalia chupi za wasichana matokeo yake ndo haya
Hakuna tatizo hapo ...Unampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime nji na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.
Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.
Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.
Hili kwako linakupa tafakuri gani?
Wahimize mabinti zako wawe GynecologistsUnampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime nji na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.
Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.
Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.
Hili kwako linakupa tafakuri gani?
You've never bothered me
Mdogo wangu kuna uzi huko umeandaliwa kuhusu wewe umeuona 😂🤣🤣Wewe ulisema utanipiga makwenzi😔
Thank you...!I just don't wanna see you disappointed 😘
Na wana huruma sana, wabarikiwe kwakweli.Kongole kwa wahudumu wote wa kiume kwenye vyumba vya kujifungulia hakika mnatusaidia sana
Kaka! Upi tenaaaaaa🤣M
Mdogo wangu kuna uzi huko umeandaliwa kuhusu wewe umeuona 😂🤣🤣
Hao wanawake wanaofanyiwa vitendo hivyo ndio wanaoleta malalamiko kwa waume zaoKukuambia ww utoke sioni kama kunashida usijitengenezee akili ya kuwa ukiambiwa hivo basi kinachoendelea ndani ni hicho lasivyo utachukia wahudumu wa afya kote duniani maana kuna vitu mke anaweza asiseme ukiwepo mfano idadi ya watu alioshiriki nao hivi karibuni but kama kuna tuhuma hizo tafuteni ushahidi wekeni mtego. Hatua stahiki zichukuliwe
Hii picha umegoogle wapi kaka?
Mwanamke wangu ana miaka 35.alikwenda kufanyiwa upasuaji kuondoa uvimbe kwenye kizazi.anakwambia anamvulia nguo kijana wa kiume sawa na mdogo wake.Kabisa kiongoz tatizo walichukulia kwa wepesi sana
Tafuta utauuona.....jamaa anataka kuleta posa huko 🤣🤣Kaka! Upi tenaaaaaa🤣
Nipo jukwaani tokea asubuhi sijaona jina langu popote palee