Tafakuri: Madaktari bingwa wa wanawake kuwa wanaume imekaaje?

Tafakuri: Madaktari bingwa wa wanawake kuwa wanaume imekaaje?

Unampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime nji na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.

Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.

Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.

Hili kwako linakupa tafakuri gani?
NAfikiri Mindset za Watu inabidi ibadilike..
Daktari hayupo kwa ajili ya kutamani mkeo..

Yupo kwa ajili ys kuhakikisha mkeo anapata matibabu stahiki ma kwa mida muafaka..
Kama ukiweza unawwza kumtibu nyumban mkeo au Muachie Daktari ashughulike naye..
 
Mmmnh ya kweli Ms R..!! au kuna lingine tofauti na hlo..?
kweli kabisa,, ingawa kwa private hospitals wahudumu wote wako na care nzuri sanaaaa.

Apo n uhalisia kabisa coz hospital nloenda mm wadada tu walkua care mda wa dawa mnaitwa majina mnapewa dawa kisha wanaondoka nazo kesho tena mnaletewa hao n wadada huduma iv.

turud kwenye kujifungua sasa nilihudumiwa na wanaume aloooh ile huduma ni super perfect 🥳.
 
kweli kabisa,, ingawa kwa private hospitals wahudumu wote wako na care nzuri sanaaaa.

Apo n uhalisia kabisa coz hospital nloenda mm wadada tu walkua care mda wa dawa mnaitwa majina mnapewa dawa kisha wanaondoka nazo kesho tena mnaletewa hao n wadada huduma iv.

turud kwenye kujifungua sasa nilihudumiwa na wanaume aloooh ile huduma ni super perfect
 
Huku kwetu kuna zahanat moja, kuna doctor mmoja ashughulika na maswala ya wajawazito, anatabia, ukpeleka mkeo kuanza clinic ya ujauzito, kuna ile baada ya vipimo vya HIV na ki semina kidogo cha mr & mrs kuhusu maendeleo ya ujauzito, anakuamru mwanaume utoke nje, sasa yule doctor anatabia ya kutomasa wake za watu, anawavua na anawashka kla sehem. Ila dawa yake ipo, tumepanga kumtwanga. Bro kama upo hapa JF, sku za kuuguza manundu zimekarbia kwako
Anawasaidia avae tu kinga maana nguvu hakuna
 
Busara sana hii. Hata hivyo kwenye jamii zetu si inasemwa semwa wanawake hampendani. Je, hii kauli ni ya kweli? ephen_
Ni ya kweli kiujumla lakini kuna wanawake hawana tatizo na wanawake wenzao

Chanzo ni mwanamke anataka kua bora kuliko mwanamke mwingine.
Jambo ambalo haliwezekani...!

Ukishajua 'Mungu anagawa kwa kila mtu kwa wakati wake na mapenzi yake'
Chuki husda wivu wa kijinga hutovipa nafasi.

'MUNGU NI WETU SOTE'
 
Hyo sio solution, kuna wakat wa mahudhurio ya clinic wanapopimapima njia sio mara zote nitakuwepo...hujaona kesi imetoka kuelezewa hapo muda si mrefu.
Huyo mkeo ni mtoto mdogo hadi um-babysit namna hiyo? Au huwa anaingia kwa daktari akiwa amezimia?
 
Huku kwetu kuna zahanat moja, kuna doctor mmoja ashughulika na maswala ya wajawazito, anatabia, ukpeleka mkeo kuanza clinic ya ujauzito, kuna ile baada ya vipimo vya HIV na ki semina kidogo cha mr & mrs kuhusu maendeleo ya ujauzito, anakuamru mwanaume utoke nje, sasa yule doctor anatabia ya kutomasa wake za watu, anawavua na anawashka kla sehem. Ila dawa yake ipo, tumepanga kumtwanga. Bro kama upo hapa JF, sku za kuuguza manundu zimekarbia kwako
Serikali ina hangaika kutengeneza madaktari, ninyi wana kijiji mnapanga kuwa twanga madaktari badala ya kuwatia moyo na mazingira yalivyo mabovu.

Kama anatabia yeyote unethical kuna sehemu ya kureport na litashughulikiwa. Mkimtwanga Daktari, ni Daktari gani atataka kuja kufanya kazi huko?
 
Mtibu mke wako kwako
Unampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime nji na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.

Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.

Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.

Hili kwako linakupa tafakuri gani?
 
Unampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime nji na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.

Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.

Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.

Hili kwako linakupa tafakuri gani?
Mzalishe mkeo mwenyewe hapo home. Problem solved
 
Back
Top Bottom