Tafakuri: Ni upi hasa unyeti wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar?



Na kwa nini adui aitumie Zanzibar asiitumie Kenya , Rwanda , Burundi, Uganda, Congo , Malawi, Msumbiji ambako ni rahisi zaidi kuingia kuliko Zanzibar.

Mimi naona kwa vile Nyerere na TANU yake walikuwa hawana uwezo wa kuiongoza Tanganyika. Ili apate kuendelea kuongoza kwa urahisi ilikuwa lazima aivamie Zanzibar na kuichukua , huku akitoa kauli kama hizo za kutishiwa usalama wake.

Pia kuwafanya Watanganyika wakati wote wawe na mawazo ya Muungano bila kuhoji nini kinafanywa kuleta maendeleo ya Tanganyika .

Na ndio CCM inavyoendelea na propaganda hii ya ulazima wa kuwepo huu UVAMIZI unaoitwa Muungano.
 
Muungano hauvunjwi bali unaboreshwa. Acheni kupotosha
 
Hoja zao zote za ccm zimeshafilisika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…