Tafakuri ya FaizaFoxy 6: Dar Es Salaam na Tanzania ya zamani, tukumbushane...

Tafakuri ya FaizaFoxy 6: Dar Es Salaam na Tanzania ya zamani, tukumbushane...

Nnakumbuka mtaa wa Zanaki na Libya kuna Daktari mwanamke wa.Kihindi tukienda kutibiwa, Akisha kupima tu pipi.

Hivi kwanini siku hizi madaktari hawatumii "stethoscope"? Sijawahi kwenda hospital enzi hizo bila kupimwa joto na "thermometer" na bila kupimwa kitua na "stethoscope".

Hivi madaktari wa siku hiz bado wanatumia "stethoscope" kila mkienda kupimwa au wanazinweka show tu shingoni?
Kwanini hamkuenda kwa Bi Nyamicho Ustaadhati Mganga
 
Back
Top Bottom