Tafakuri ya Mafuriko ya mashabiki wa Yanga katika mechi za ugenini

Nilitaka inputs. Kuna watu wanaleta mawazo yao hata kama yako biased lkn wa hoja. Tunaweza kupata facts za kutosha ku-draw conclusion. Hata nilivoshauri.....kufanyike utafiti.....lengo ni kutafuta facts
 
Correction hapo, ata kipindi cha Manji Mambo yalikuwa tofauti, me nimehamia Dar mwaka 2016 na tangia hapo nashkuru Mungu sijawahi kukosa mechi ya watani, lakini kuanzia hapo hakuna mechi ambayo Yanga waliwazidi Simba idadi ya washabiki, na ukitaka proof we kaangalie tu highlight YouTube

kwahiyo inawezekana pia ata kipindi cha Manji Yanga haikuongoza kwa mapato Wala kuingiza mashabiki wengi kuliko Simba kwa miaka yote ambayo Manji alikuwa sponsor, so bado hakuna proof nani ana washabiki wengi, tusubiri hadi pale ambapo statistics zitakuja kufanywa kwa kufata taratibu
 
Sijaungana ma wachangiaji. Ila nimeitikia michango kwa kusema 'naaam'
 
Kumbuka miaka ya 2016 ndipo Manji alikuwa anamalizia vipindi vyako. Alianza miaka ya 2005/06
 
Mmmmmmh
Eti roho mbaya, sasa mayele kama anachekesha nisicheke?

Ana hamasisha mashabiki wamshangilie hata pale ambapo hajafunga goli na we unaina kawaida tu?
 
Ukisema utumie statistics za kuingiza mapato uwanjani msimu uliopita haiwezi kuwa hoja yenye mashiko kwakuwa kwa miaka 4 nyuma hiyo record ilikuwa ikishikiliwa na Simba kwahiyo huwezi kusema ndani ya msimu mmoja eti washabiki wa Yanga wameongezeka
Hebu tupe proof.
 
Hebu tupe proof.
Kwani ya Yanga kuongoza msimu uliopita ulijuaje? Si tff walitangaza mkuu basi ni the same misimu ya nyuma pia walikuwa wakitangaza cha kukusaidia Kama ulikuwa hujui basi fatilia source za tff au ata Google naimani utapata huko

Na kumbuka sipo hapa kubishana ispokuwa nipo hapa kuchangia hoja aliyoleta mtoa mada, na ndomana hujaona tukichangia hoja kwa mihemko ispokuwa facts na matukio, kwahiyo Kama naww una hoja yako changia Kisha tutoe maoni
 
Kwa heshima kubwa nakuomba tusaidie hapa official data za miaka miwili tu ukiondoa msimu uliopita
 
Kwa heshima kubwa nakuomba tusaidie hapa official data za miaka miwili tu ukiondoa msimu uliopita
Kwa Heshima kubwa kwako pia hadi tulipofkia sitarajii kuulizwa hivi na wewe, kwa sababu 1 tu kubwa, nilitegemea hadi kuja kuanzisha mada ya team ipi ina washabiki wengi nilijua hili ni Jambo ambalo unalijua kabla ndomana kwenye kujenga hoja zako uliongelea takwimu za TFF kuwa Yanga aliongoza kuingiza mapato kuliko Team ingine msimu uliopita, kwa maana hiyo ulitakiwa kujua pia kama Yanga kaongoza last season je previously seasons ulijuaje? Aliongoza Nani?

Hivo nilitegemea me naposema Simba iliongoza kwa miaka 4 kuingiza mapato, wewe ungekuja na kunambia sio kweli me nina hizi hapa data zinasema Yanga mwaka flani aliongoza yeye na sio Simba, then ukinambia hivo mie nirudi kwenye data zangu nije kukupa proof, TFF Kila mwisho wa msimu waga wanatoa hizo data Sasa napata mashaka Kama ulijiandaa vizuri na hii Hoja, sa sijui Kama waga unafatilia mpira wetu au umekuja na Thread tu baada ya kuona Yanga imeingiza mashabiki wengi Mkoani
 
Hatushindani. Tusaidie data. Nimeanzisha mada coz sina facts
 
Au basi nipe hata link ya kuweza kupata data husika. Ni msaada tu
 
Au basi nipe hata link ya kuweza kupata data husika. Ni msaada tu
Unafurahisha Mjogoro, anyway me pia sina data Mkuu wala Link, acha tulet X kuwa Yanga aliongoza kwa mapato misimu yote, then nakaa kando nasubiri conclusion yako juu ya utafiti wako
 
Mtu mwenye elimu duni inawezekana siyo shabiki halisi, wanakuwa outsmarted na marafiki zao wachache wajuaji na wabishi wa utopolo.[emoji41]
Wivu utakuua kolo wewe kwani ukikubali ukweli unapungukiwa nini ?
 
Mmmmmh Mi nipo serious. Tunasaidiana hapa. Afu so lazima uleta data sasaivi. Explore hizo data kokote unakodhani zinapatikana uzimwage hapa. Ukiweza saidia wanajamvi kupata ufahamu wa wasichokijua
Unafurahisha Mjogoro, anyway me pia sina data Mkuu wala Link, acha tulet X kuwa Yanga aliongoza kwa mapato misimu yote, then nakaa kando nasubiri conclusion yako juu ya utafiti wako
 
Mmmmmh Mi nipo serious. Tunasaidiana hapa. Afu so lazima uleta data sasaivi. Explore hizo data kokote unakodhani zinapatikana uzimwage hapa. Ukiweza saidia wanajamvi kupata ufahamu wa wasichokijua
Mkuu me mchango wangu umeishia hapa napisha wachangiaji wengine ambao watakuja na facts zingine kuongezea nyama, na kwakuwa uzi ni wako basi nategemea wewe ndio ulitakiwa uwe umejiandaa vizuri juu ya details nyingi

na Kama tushakubaliana huko juu kuwa ili kupata uhakika wa takwimu lazima zihusike scientific research Sasa sioni haja ya kuendelea kujadili Kama waganga wa kienyeji hapa kwakuwa tunajua hatutapata majibu ya uhakika, ukipata conclusion nitarudi
 
Mmmh haya
 
Angalao sasa pamoja na wachezaji wao mchongo wameonyesha uhai kidogo.

Kuna furaha kidogo japo si ya kudumu. Wana strika wao yule Mayele kacheza dakika 630 ana tugoli tutatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…