Tafakuri yangu kwa Mashtaka ya Ole Sabaya

LIFUGUMA haaaaaa!!!!!!.
 
Kwa kuwa uongozi katika nchi masikini ni unatumika kama njia ya kujipatia utajiri, siyo rahisi kutenganisha viongozi wote na uovu dhidi ya wananchi.
Wakati mwingine kunakuwepo organized crimes kupitia vyama na hata serikali.
Hali inakuwa mbaya zaidi wanapokwepo viongozi wenye msimamo mkali(extremist).
 
Nyie sindio mlikuwa mnamsifia kwa kila kitu dikteta magufuli,,

Kipindi kile watu wanasema Sabaya Ni jambazi we ukawa kinara wakutetea hapa
 
Sikufahamu mkuu na sina maana ya kukudharau kuhusu ulimwengu wa sheria, nilicho taka ukijue tu kwamba, mleta UZI sio kilaza, ni expert wa sheria za BONGO and hence anajua ni kwanini kauleta huo uzi humu.
Kwani mimi nimesema mleta mada ni kilaza? au hukuielewa comment yangu? mleta mada nimemsoma sana humu jf na ninaweza kua na idea na anachokiandika humu,ile comment yangu kwanza haikumlenga mleta mada wa hii thd,comment yangu ilikua ni general.
 
Mh. Wakili msomi, Sabaya alikua mkuu wa wilaya Hai, ambapo anatoka aliye kuwa kiongozi wa kambi rasimi ya upinzani bungeni, na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani! Kiongozi huyo wa upinzani alisha pewa kiapo na spika kuwa hatarudi bungeni, mkuu wa polisi wilaya aliapa hivyo hivyo!
Itoshe tu kusema kwamba ufurukunyu na ufinyokole wote wa mkuu wa wilaya, Una akisi unyumbirisi wote wa watawala wa awamu iliyo pita!
 
Magufuli alikuwa Ibilisi na Sabaya ndiyo kielelezo halisi cha roho yake ilivyokuwa. Ilikuwa lazima Mwendazake afe tu maana kama vigezo vyake vya kiongozi bora ni watu kama Ole Sabaya, Paul Makonda, Albert Chalamila na Gelasus Byakwana sijui nchi yetu ingekuwaje kwa miaka mingine 5.

Tujipige kifua mara 3 na tuseme "ASANTE MUNGU KWA KUTUKOMBOA KUTOKA KWA IBILISI"
 
Mkuu, unamfahamu vizuri mleta UZI!? Ni wakili mwandamizi wa mahakama kuu na mahakama ya rufaa so unachangia uzi wa proffesinal au expert wa sheria za bongo. Msome kwenye nyuzi zingine
Ila enzi ya mwanakwendazake kuna wakati alijutoaga ufahamu, katika kusaka teuzi! Credit kwake, amejirudi!
 

Petro umezunguka sana, Sabaya alipata nguvu ya kutenda huo uovu maana aliyemteua alikuwa muovu na dhalimu. Unyama na ukatili mwingi ulikuwa na baraka za boss wake, japo unyama mwingine alijiongeza. Katika hilo group la Sabaya, yuko pia Makonda, kila uchafu aliofanya Sabaya, Makonda pia alifanya ila vyombo vya habari vilifungwa midomo. Wakati wakifanya unyama huu, walishurutisha watanzania wote tuamini kuwa wao ni wazalendo!

Uchafu wote wa viongozi wengi kipindi cha Magu uko wazi, ila watu wanakaa kimya, kwani ni utamaduni kufumbia uchafu wa wanasiasa wa ccm nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…