Bratherkaka
Senior Member
- Apr 30, 2012
- 101
- 10
Habari! Msaada kati ya maneno mawili kati ya kuzini na unzinzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari! Msaada kati ya maneno mawili kati ya kuzini na unzinzi.
Kuzini ni kitendo (verb) mfano [Juma alishitakiwa kwa kuzini na mke wa mtu]
Uzinzi ni noun [Uzinzi ni m-baya kama ilivyo "pombe ni mbaya"]