Shukrani sana, nitabaki Toyota forever. 😆🙌Umeshagusia....kitu kinakufa air suspension,set inataka 5m! Kubadili uweke coils nayo imataka si chini ya 4m sasa mtu alienunua kwa kubangaiza anachemka! Huo ni mfano mmoja hata kubadili wishbones sio kazi ndogo unazungumzia milioni na kuendelea sasa ukinunua kwa kubangaiza lazima uchemke,na hivyo ni vitu vya kawaida kwa barabara zetu.
Usiseme forever. Unaweza kuwa anybody baadae hizo gharama nilizotaja ukaziona kama hela ya bia mbili.Shukrani sana, nitabaki Toyota forever. 😆🙌
Mkuu kuna kitu kinaitwa top speed na kingine kinaitwa acceleration.1. Dereva
2. Confidence na gari yako (tyre, alignment and balance (stability)
3. Unaifahamu barabara.. unajua wapi kuna kona, wapi kuna tochi-50 zingine unazikata
4. Sababu ulizozisema.. Road condition haziruhusu speed zaidi ya 160 kwa gari karibu zote.. means kila gari inauwezo wa kwenda sambamba as long as driver yupo vzr.
Duuuh kwenye tamthilia sipo kbsa, labda uniambie kukesha kusikiliza [emoji445]Msiwe wanyonge mkuu,mnaweza hata kujadiliana khs tamthilia ya sultani mkuu,[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] natania.
Ila tinde isaka mzee hufuti kisahani hata siku moja ukitoka isaka kuitafuta kahama pamenyooka kidogo lakini huku mwanzo hufutiKwa experience yangu:
1. Babati to Arusha.... kama ni usiku mida ya saa 7 na kuendelea, hiko kipande waweza kumaliza kisahani, japo kuna bumps kadhaa chache.
2. Tinde to Kahama to Runzewe...
Huu mkeka ni nowma. Ni lami very smooooth, hakuna bump hata moja mpaka Runzewe. Barabara hiyo magari mengi ni semi za Rwanda, Uganda, na Burundi. Kwa usiku mnene kipande hiki ndipo huwa naipush ist to my top speed as per my control ability. Ni kipande chenye lami tamu mnoooo! I assure that kipande hiki kwa skilled driver mwenye ujasiri anamaliza kisahani bila shida yoyote kwa gari hizi za speed 180.
Zahma..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliingia kwenye mashamba ya katani kukwepa zahama
Et naskia zimekua nyingi kuliko IST..[emoji23][emoji23]Yangu nimeisha honga, sasa hivi natembea kwa miguu siku mbili tatu.. nivute chuma kama chuma.. haiwezekani.. kwenye foleni.. mmepangana wote athlete [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].. Extrovert
Ndio ukweli huo.. kila sehemu.. haziwezi pita gari kumi, ukose athelte mbili tatu.. ila kwa dar es salaam.. mikoani sijui hali ipojeEt naskia zimekua nyingi kuliko IST..[emoji23][emoji23]
Toyota Crown Grs 180/182/184 ndio nyingi hizi Toyota Crown Grs 200 bado zipo chache.Et naskia zimekua nyingi kuliko IST..[emoji23][emoji23]
Njoo tufanye road trip ya Dar-Songea Kwa pikipiki. Ufaidi mandhari ya Iyovu,Kitonga,Kona za Njombe,milima Lukumburu, MadabaDuuuh kwenye tamthilia sipo kbsa, labda uniambie kukesha kusikiliza [emoji445]
Kweli mkuu kuna siku nilipanda mnyama Ford toka singida to Dar acha yaani anakuwa speed 200 ila gari inadaiBosi kuna magari ukiwa ndani na speed ya 110, unaona mwenyewe roho inaanzakutoka. Ila kuna magari ukiwa 170 unafikiri bado upo kwenye 80
Kuna magari yanakupa uthubutu, kuna mengine yanakupa ujasiri.Kweli mkuu kuna siku nilipanda mnyama Ford toka singida to Dar acha yaani anakuwa speed 200 ila gari inadai
Mkuu weka vizuri hii sijaelewa, tairi lilipata pancha au lilichomoka na dereva alikuwa spidi gani.Kuna magari yanakupa uthubutu, kuna mengine yanakupa ujasiri.
kuna VW ilipata ajali tairi la dereva likatoka, na bado liliweza tembea na matairi matatu kwa zaidi ya 700m mpaka dereva alipoweza kulisimamisha.
ilikua usiku, Gari lilikua nduki balaa, akabatua bodaboda.Mkuu weka vizuri hii sijaelewa, tairi lilipata pancha au lilichomoka na dereva alikuwa spidi gani.
Ebu subiri kidogo mkuu VW lilipata ajali tairi la dereva likachomoka na Gari ikawa na uwezo wa kutembea 700m mpaka dereva alivyoweza kulisimamisha ni hapa bongo au je ni movies ya fast and ferious unatuadithia hapa kivipi inakuja tairi lichomoke na gari iwe nauwezo kuendelea kwa umbali huo je hiyo barabar ni ya wapi je haina tuta wala Kona kingine alikuwa pekee yake barabar hata kama ni usiku lazima kuwe na movement za gari nyingineKuna magari yanakupa uthubutu, kuna mengine yanakupa ujasiri.
kuna VW ilipata ajali tairi la dereva likatoka, na bado liliweza tembea na matairi matatu kwa zaidi ya 700m mpaka dereva alipoweza kulisimamisha.
Mkuu nenda kawaulize bodaboda wa luguruni, walitaka kulichoma hilo gari maana lilimvunja bodaboda mwenzao.Ebu subiri kidogo mkuu VW lilipata ajali tairi la dereva likachomoka na Gari ikawa na uwezo wa kutembea 700m mpaka dereva alivyoweza kulisimamisha ni hapa bongo au je ni movies ya fast and ferious unatuadithia hapa kivipi inakuja tairi lichomoke na gari iwe nauwezo kuendelea kwa umbali huo je hiyo barabar ni ya wapi je haina tuta wala Kona kingine alikuwa pekee yake barabar hata kama ni usiku lazima kuwe na movement za gari nyingine
Nimeforce kuelewa lkn nimeshindwa
It's possible.Ebu subiri kidogo mkuu VW lilipata ajali tairi la dereva likachomoka na Gari ikawa na uwezo wa kutembea 700m mpaka dereva alivyoweza kulisimamisha ni hapa bongo au je ni movies ya fast and ferious unatuadithia hapa kivipi inakuja tairi lichomoke na gari iwe nauwezo kuendelea kwa umbali huo je hiyo barabar ni ya wapi je haina tuta wala Kona kingine alikuwa pekee yake barabar hata kama ni usiku lazima kuwe na movement za gari nyingine
Nimeforce kuelewa lkn nimeshindwa
Ila tinde isaka mzee hufuti kisahani hata siku moja ukitoka isaka kuitafuta kahama pamenyooka kidogo lakini huku mwanzo hufuti
Upo sahihi, ile rami ni kiwango, haina tuta wala katoto ka tuta.. .. na ile unafungukaSikusema Tinde to Isaka. Nilisema TINDE to KAHAMA to Runzewe...
Kwa tafsiri nyingine ni kwamba TINDE to RUNZEWE sehemu kubwa inaruhusu kumaliza kisahani kwa gari nzima yenye speed 180.
Usibishe. Naongea from real experience on my own.
CC: East Wind