Tafiti ndogo ya ligi ya magari 2020 Desemba kwenda kaskazini ni kama hii

Tafiti ndogo ya ligi ya magari 2020 Desemba kwenda kaskazini ni kama hii

Baada yakujifunza kwa muda kidogo, nimegundua the only thing that matters is who is behind the wheel

Ukiacha magari yenye 260/240, haya mengine yenye 180 yatatofautiana kuchanganya tuu.. kama dereva mzuri hata ist inaingia kwenye ligi na magari mengi tu ya 180.

Ila kuhusu Passo sifahamu jamani..

Hawa wa 260/240 nao hakuna barabara Tanzania wanazoweza kuexercise full potential ya gari kwa angalau dk 5 mfululizo. Huweziendesha kwa 240 kwa dk 5-10 bila kukuta tuta, kivuko cha wanyama, humps, askari wa barabarani, hifadhi wala kona yakukutaka upunguze mpaka hata 80.

Wanaishia kuendesha 160, wananusa extreme (240/260) kwa sekunde 9-23 wanarudi 100-80, ambapo kwa wastani wa safari nzima ni speed 140-160 ambayo ist inatembea vizuri tuu..

The only thing that matters is who is behind the wheel
Wewe jidanganye hivyo hivyo hio IST 1NZ haiwezi fua dafu hata kwenye 3S-GE issue sii kuchanganya hata horsepower ya gari ina mchango mkubwa sana kwenye mbio
 
Baada yakujifunza kwa muda kidogo, nimegundua the only thing that matters is who is behind the wheel

Ukiacha magari yenye 260/240, haya mengine yenye 180 yatatofautiana kuchanganya tuu.. kama dereva mzuri hata ist inaingia kwenye ligi na magari mengi tu ya 180.

Ila kuhusu Passo sifahamu jamani..

Hawa wa 260/240 nao hakuna barabara Tanzania wanazoweza kuexercise full potential ya gari kwa angalau dk 5 mfululizo. Huweziendesha kwa 240 kwa dk 5-10 bila kukuta tuta, kivuko cha wanyama, humps, askari wa barabarani, hifadhi wala kona yakukutaka upunguze mpaka hata 80.

Wanaishia kuendesha 160, wananusa extreme (240/260) kwa sekunde 9-23 wanarudi 100-80, ambapo kwa wastani wa safari nzima ni speed 140-160 ambayo ist inatembea vizuri tuu..

"The only thing that matters is who is behind the wheel"
Tatizo sio 140 wala 160 mkuu


Drivetrain pia inachangia fwd ya ist na nguvu yake haiwezi kukeep up na rwd ya crown pia japo mfano wanatoka kwenye bump

Ndio driver ni mtu crucial lakn
Hatuwezi kutoa uwezo wa gari kabisa.
Maana nayo inamake huge difference
 
[emoji16][emoji16][emoji16], kuna magari yanayotajwa nahisi hayajaanza kutengenezwa
 
Hamna forester xt ambayo sio turbo,
Kwa ninavoona mimi hapa bongo
Acceleration kali ni important kuliko top speed
Maana hata kama gari inatop 260 ni mara chache sana utagusa hapo
Na hapo ndo subaru inapokuja in handy
Awd means better accel than rwd
And turbo boosts its performance ....
Unaweza ukawa na rwd nzuri tu hapa bongo
Ila team subie tukasumbua 😂😂😂
 
Back
Top Bottom