Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
[emoji23][emoji23][emoji23]Woga wenu msiidhalilishe Subaru. Labda ile imprezza non turbo ya cc1500. Lakini Subaru proper haiwezi kusumbuliwa na pick up iliozibwa nyuma. Yes Fortuner ni Hilux iliozibwa nyuma.
Nilikutana na Dudu moja ivi Jeupe lina Miguu Myeusi tiiiiiiiiiii...(BMW X6) maeneo ya Rock Hill aise ilikua hatariLigi ni mzuri sana haswa kama mnaelekea sehem moja nimekuja nimekuja na utafiti mdogo hapa kuhus nani alikuwa mbabe road trip kwa mwaka Jana.
Land cruiser kama kawaida yake hana mpinzani huyu mnyama anakimbia jamani hajali tuta wala nini yeye ni mwendo alitutesa sana sisi wakina Harrier sio poa mpinzan wake alikuwa ni Land cruiser mkonge, Prado txl new model, Ranger wild track, Nisan navarra, ndo walikuwa wanawekeana misuli
Kuna huyu volkswagen asee hiki chumba kina ondoka wajameni hii Γ±diga ni mashine hatari yeye na BMW X 3,4,5 Hawa walikuwa tishio Sana germany mashine sio poa kwa long trip wanapuli sana very comfortable wakiwa barabaran kuovertake ndo usiombe
Kuna huyu mnyama crown ni ana balaa alitupita pale korogwe hatukumuona tena anapepea jamani hii chuma sio mchezo kimetulia barabaran san alikuwa huyu na mwenzie brevis walitupita hatukuwaona tena
Brevis, Grand Mark II hizi Gari zinakimbia gx100 ni anabalaa brevis alitupita kama tumepark vile wakat sisi tulikuwa tunatembelea 120 wakati huo kipande cha hapo Tanga alituovertake na kumuona akitoweka nikamvulia kofia kwa speed hi kwere nae alikuwa anatesa road.
Mark x nae hakuwa mzembe kuna Alphard walikuwa wanatesa. Hii ndio list ya Gari zilikuwa tishio kwa ligi njiaΓ± kwa mwaka Jana December kwa Trip ya kwenda ukanda wa kaskazini kwa utafiti mdogo wang na kwa mtazamo wangu mm najipanga nivute mnyama athletes crown Simba hiki chuma sema tu kwenye bums ndo wanapoteswa hapo na rough roads tuu ndo hafui dafu
Na hizo V8 za mjerumani ziko boosted na ma turbo wkt za mjapani ni natural aspirated engines,yaani hata wao wajapan wangeamua kuongeza ma turbo tu wanafikia hio hp 500+,ila wao sio wapenzi wa ma turbo sababu ya reliability.Wajerumani wanajua tengeneza engine zenye nguvu sana.
Unapata V8 yenye horsepower 500+. Ila V8 za Mjapani zinaenda mpaka 300+ labda uifanyie tunning.
Niliingia kwenye mashamba ya katani kukwepa zahamaNaona mkuu Mshana Jr alikuwa anatesa na Discovery alikuwa anatesa tuu
Lakini rafiki yangu yeye alikuwa anaogopa racing sijui pindi anapokutana na semi limeivaa alikuwa anapaki pembeni au maana kuna bus BM Coach ilituovertake ni balaa lile bus linakimbia jamani huo upepo wake Sasa sijui Extrovert alikuwa anasemaje katika hili
ππππ aiseee.Niliingia kwenye mashamba ya katani kukwepa zahama
Wajerumani ni shida! Unakuta kitu V8/12 bi-turboNa hizo V8 za mjerumani ziko boosted na ma turbo wkt za mjapani ni natural aspirated engines,yaani hata wao wajapan wangeamua kuongeza ma turbo tu wanafikia hio hp 500+,ila wao sio wapenzi wa ma turbo sababu ya reliability.
Ila hata hivyo wajapan(Toyota) wako na TRD ukitaka hayo ma turbo&other modes kwa particular car utazikuta huko.
me wala sikuwa na haraka nilikuwa na demu wangu njiani kwenye vituo muhimu tulipumzika kwa raha zetuLigi ni mzuri sana haswa kama mnaelekea sehem moja nimekuja nimekuja na utafiti mdogo hapa kuhus nani alikuwa mbabe road trip kwa mwaka Jana.
Land cruiser kama kawaida yake hana mpinzani huyu mnyama anakimbia jamani hajali tuta wala nini yeye ni mwendo alitutesa sana sisi wakina Harrier sio poa mpinzan wake alikuwa ni Land cruiser mkonge, Prado txl new model, Ranger wild track, Nisan navarra, ndo walikuwa wanawekeana misuli
Kuna huyu volkswagen asee hiki chumba kina ondoka wajameni hii Γ±diga ni mashine hatari yeye na BMW X 3,4,5 Hawa walikuwa tishio Sana germany mashine sio poa kwa long trip wanapuli sana very comfortable wakiwa barabaran kuovertake ndo usiombe
Kuna huyu mnyama crown ni ana balaa alitupita pale korogwe hatukumuona tena anapepea jamani hii chuma sio mchezo kimetulia barabaran san alikuwa huyu na mwenzie brevis walitupita hatukuwaona tena
Brevis, Grand Mark II hizi Gari zinakimbia gx100 ni anabalaa brevis alitupita kama tumepark vile wakat sisi tulikuwa tunatembelea 120 wakati huo kipande cha hapo Tanga alituovertake na kumuona akitoweka nikamvulia kofia kwa speed hi kwere nae alikuwa anatesa road.
Mark x nae hakuwa mzembe kuna Alphard walikuwa wanatesa. Hii ndio list ya Gari zilikuwa tishio kwa ligi njiaΓ± kwa mwaka Jana December kwa Trip ya kwenda ukanda wa kaskazini kwa utafiti mdogo wang na kwa mtazamo wangu mm najipanga nivute mnyama athletes crown Simba hiki chuma sema tu kwenye bums ndo wanapoteswa hapo na rough roads tuu ndo hafui dafu
Weka mada ya mapenzUkiona ivo shabiki wa hii mambo ni wachache mno na huenda wakawa ndo hao hao wawili
Ingekuwa wewe ungechagua naturally aspirated engine au turbo charged? And why?Na hizo V8 za mjerumani ziko boosted na ma turbo wkt za mjapani ni natural aspirated engines,yaani hata wao wajapan wangeamua kuongeza ma turbo tu wanafikia hio hp 500+,ila wao sio wapenzi wa ma turbo sababu ya reliability.
Ila hata hivyo wajapan(Toyota) wako na TRD ukitaka hayo ma turbo&other modes kwa particular car utazikuta huko.
Mkuu mimi napenda naturally aspirated sababu inakua smooth tofauti na hizi zenye turbo ile lagging yake hua inanipa shida ingawa gari nyingi za kisasa wamejitahidi kupunguza/kuondoa hio lagging.Ingekuwa wewe ungechagua naturally aspirated engine au turbo charged? And why?
Hapo dude linakua linatembea kwa kasi kama ndege ya ardhini vile,hahah.Wajerumani ni shida! Unakuta kitu V8/12 bi-turbo
Mkuu hizo subi zinaonekana hazina manjonjo.subi ambayo nasumbua nayo mtaani hata vx v8 hanisumbui sasa hyo fortuner c ndo atanikuta moshi napata luch.Mzee fortuner manual 1kd achana nayo hiyo kitu huyo subie anasubiri bahati nimeendesha subie zote forester old na new model ila new model nyepesi road
Napenda gari yenye nguvu ila CC ndogo.Mkuu mimi napenda naturally aspirated sababu inakua smooth tofauti na hizi zenye turbo ile lagging yake hua inanipa shida ingawa gari nyingi za kisasa wamejitahidi kupunguza/kuondoa hio lagging.
Turbo naipenda kwenye funny car labda kwa ajili ya weekend lkn sio kwa ajili ya maisha ya kila siku.
Preference yako ikoje na kwanini?
Sawasawa mkuu.Napenda gari yenye nguvu ila CC ndogo.
Mf. CC 2000 inaweza kupa 301 hp wakati ukitaka hiyo power kwa natural aspirated lazima uanzie 4.4 L V8. Which must be a gas guzzler.
Hicho kipande tinde - runzewa nilikimbiza 180 hadi natafuta za ziada.. hadi nilipiga ukunga mwenyewe tu kwenye gari kwa raha yake.. ile barabara wamejenga no tuta no kona kona.. ukifunguka umefunguka. Na il ukitokea huku unaweza puyanga hadi geita mjini.. naona road ipo freshKwa experience yangu:
1. Babati to Arusha.... kama ni usiku mida ya saa 7 na kuendelea, hiko kipande waweza kumaliza kisahani, japo kuna bumps kadhaa chache.
2. Tinde to Kahama to Runzewe...
Huu mkeka ni nowma. Ni lami very smooooth, hakuna bump hata moja mpaka Runzewe. Barabara hiyo magari mengi ni semi za Rwanda, Uganda, na Burundi. Kwa usiku mnene kipande hiki ndipo huwa naipush ist to my top speed as per my control ability. Ni kipande chenye lami tamu mnoooo! I assure that kipande hiki kwa skilled driver mwenye ujasiri anamaliza kisahani bila shida yoyote kwa gari hizi za speed 180.
Yangu nimeisha honga, sasa hivi natembea kwa miguu siku mbili tatu.. nivute chuma kama chuma.. haiwezekani.. kwenye foleni.. mmepangana wote athlete ππππ.. ExtrovertTeam crown mbona siwaoni wakitumwagia madini huyu na unyama ndege ya chini hasa Athletes hii kitu ni simba kwa gari zote za sedan
Hahahaha unataka kununua Subaru nini maana wote wanaochange upepo kutoka Toyota wanakimbilia SubaruYangu nimeisha honga, sasa hivi natembea kwa miguu siku mbili tatu.. nivute chuma kama chuma.. haiwezekani.. kwenye foleni.. mmepangana wote athlete ππππ.. Extrovert