Tafiti: Rais Samia amepwaya kudhibiti rushwa, nidhamu ya watumishi wa umma

Tafiti: Rais Samia amepwaya kudhibiti rushwa, nidhamu ya watumishi wa umma

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Inasaidia nini kupiga soga na kina Mbowe na kuonyesha umma kuwa mnademokrasia wakati mali za umma zinaibiwa na wananchi wanateseka. Hizi ni demokrasia uchwara

Sasa hivi akina mama wakienda kujifungua imekuwa biashara. Huko nyuma haya mambo yalikoma.

Polisi wanamaliza kesi wanavyotaka. Halmashauri pesa za serikali zinabutuliwa kama ubwbwa.

Mkuu wa nchi yupo busy kupambana kuwaridhisha mabeberu kuwa akina Mbowe wapo huru kufanya mikutano na anakunywa nao juisi za ceres Ikulu
 
Hili liko wazi, ni Mjinga pekeee ,Tena Msoga gan, au Upinzani uchwara au Vyeti Feki nahawa janja janja ndio watapinga.


Ukweli nikwamba, Samia kashindwa kudhibiti Rushwa, nidhamu Kwa watumis imeporomoka , Wizi wa Fedha za Umma umeongezeka.
 
Hili liko wazi, ni Mjinga pekeee ,Tena Msoga gan, au Upinzani uchwara au Vyeti Feki nahawa janja janja ndio watapinga.


Ukweli nikwamba, Samia kashindwa kudhibiti Rushwa, nidhamu Kwa watumis imeporomoka , Wizi wa Fedha za Umma umeongezeka.
Acheni kupayuka ,yule mwehu wenu mbona hakuwahi kumfunga yoyote shauri ya rushwa?
 
Umeme shida, maji shida, mfumuko wa bei hausemeki kabisa, vitendo vya rushwa vimetapakaa, vibaka kila kona, wizi/uporaji wa mali za umma, ugumu wa Maisha usio kifani.

Je, kwa hali ilivyo sasa, maridhiano yanatusaidia nini?

RIP, JPM, BABA YETU MPENDWA.
Kwa sasa tunakukumbuka sana.

You sacrificed your life for poor Tanzanians.
May your soul be safe eternally.
 
Umeme shida, maji shida, mfumuko wa bei hausemeki kabisa, vitendo vya rushwa vimetapakaa, vibaka kila kona, wizi/uporaji wa mali za umma, ugumu wa Maisha usio kifani.

Je, kwa hali ilivyo sasa, maridhiano yanatusaidia nini?

RIP, JPM, BABA YETU MPENDWA.
Kwa sasa tunakukumbuka sana.

You sacrificed your life for poor Tanzanians.
May your soul be safe eternally.
Mchoso
Back up your baseless
allegations with facts and figures
Jamaa Kesha kufa na mambo yake yote hata Tbccm hawachezi hotuba zake tena wala hata kumtaja
 
Inasaidia nini kupiga soga na kina Mbowe na kuonyesha umma kuwa mnademokrasia wakati mali za umma zinaibiwa na wananchi wanateseka. Hizi ni demokrasia uchwara

Sasa hivi akina mama wakienda kujifungua imekuwa biashara. Huko nyuma haya mambo yalikoma.

Polisi wanamaliza kesi wanavyotaka. Halmashauri pesa za serikali zinabutuliwa kama ubwbwa.

Mkuu wa nchi yupo busy kupambana kuwaridhisha mabeberu kuwa akina Mbowe wapo huru kufanya mikutano na anakunywa nao juisi za ceres Ikulu
Polen san 🤣🤣🤣kubalin jaman zama zenu zimepita na hazirud tena Abadan!!
 
Inasaidia nini kupiga soga na kina Mbowe na kuonyesha umma kuwa mnademokrasia wakati mali za umma zinaibiwa na wananchi wanateseka. Hizi ni demokrasia uchwara

Sasa hivi akina mama wakienda kujifungua imekuwa biashara. Huko nyuma haya mambo yalikoma.

Polisi wanamaliza kesi wanavyotaka. Halmashauri pesa za serikali zinabutuliwa kama ubwbwa.

Mkuu wa nchi yupo busy kupambana kuwaridhisha mabeberu kuwa akina Mbowe wapo huru kufanya mikutano na anakunywa nao juisi za ceres Ikulu
kamfufue uzikwe wewe.
sisi hatutaki kiongozi/mtawala MNYAPALA tunataka mtu mwenye staha, utu na ubinadamu.hatutaki kutawaliwa tunataka kuongozwa. mama anatuongoza hatutawali kama yule fedhuli aliyekufa kibudu na kuzikwa/kufukiwa pale chato.
NANI ALIMUUA BEN SANANE?
nani alimpiga risasi Lisu na kwann?
yupo wapi ANZORY GWANDA?
 
Back
Top Bottom