Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Ulijuaje kwamba kenge ana makalio kama na wewe siyo kenge?We kenge mbona unawashwa makalio?
We kenge mbona hauna point?Ulijuaje kwamba kenge ana makalio kama na wewe siyo kenge?
kamfufue uzikwe wewe. watanzania hawataki viongozi manyapala tunataka waungwana wenye kujali utu na heshima za watu siyo kufoka,kupora na kubambikizia watu kesi
kamfufue uzikwe wewe sisi mungu alishatutendea wema hapo 17/3
mungu aliamua ugonvi kwa kutuondolea NYAPALA sasa raha mustarehe. kama hutaki hama nchi juha wewe.We kenge mbona hauna point?
tena umeongea pointAcheni kupayuka ,yule mwehu wenu mbona hakuwahi kumfunga yoyote shauri ya rushwa?
Hakika yalikuwa ni maajabu ya karne. ati unawaita waandishi wa habari ikulu na kulitaja gazeti moja tu kwamba wanaandika vizuri hawa wengine?tena umeongea point
Mkapa alifunga Mawaziri wa Mwniyi kina Kiula
Jakaya kafunga Mawaziri, Paymaster General Mgonja, Balozi hadi akavuliwa hadhi ya Ubalozi, Waziri Mkuu na mawaziri kadhaa wakapoteza vyeo wakati wa Jk ikiwa ni pamoja na kuweka reports za ukaguzi hadharani
unapambanaje na ufisadi kwa kudidimiza uhuru wa habari ?
Vita ya mamluki yakufurahisha sanaHuna akili wewe mwanaCCM.
Mtakoma na bado.Hili liko wazi, ni Mjinga pekeee ,Tena Msoga gan, au Upinzani uchwara au Vyeti Feki nahawa janja janja ndio watapinga.
Ukweli nikwamba, Samia kashindwa kudhibiti Rushwa, nidhamu Kwa watumis imeporomoka , Wizi wa Fedha za Umma umeongezeka.
Masikini mwenyewe unaumia... sijui waugulia wapi wewe mfuasi wa lile shetani la Chato.Inasaidia nini kupiga soga na kina Mbowe na kuonyesha umma kuwa mnademokrasia wakati mali za umma zinaibiwa na wananchi wanateseka. Hizi ni demokrasia uchwara
Sasa hivi akina mama wakienda kujifungua imekuwa biashara. Huko nyuma haya mambo yalikoma.
Polisi wanamaliza kesi wanavyotaka. Halmashauri pesa za serikali zinabutuliwa kama ubwbwa.
Mkuu wa nchi yupo busy kupambana kuwaridhisha mabeberu kuwa akina Mbowe wapo huru kufanya mikutano na anakunywa nao juisi za ceres Ikulu
Hatuko tayari kurudi tena kwenye zama zile za Giza neneUmeme shida, maji shida, mfumuko wa bei hausemeki kabisa, vitendo vya rushwa vimetapakaa, vibaka kila kona, wizi/uporaji wa mali za umma, ugumu wa Maisha usio kifani.
Je, kwa hali ilivyo sasa, maridhiano yanatusaidia nini?
RIP, JPM, BABA YETU MPENDWA.
Kwa sasa tunakukumbuka sana.
You sacrificed your life for poor Tanzanians.
May your soul be safe eternally.
Watanzania wa wapi unaowasemea wewe?.Inasaidia nini kupiga soga na kina Mbowe na kuonyesha umma kuwa mnademokrasia wakati mali za umma zinaibiwa na wananchi wanateseka. Hizi ni demokrasia uchwara
Sasa hivi akina mama wakienda kujifungua imekuwa biashara. Huko nyuma haya mambo yalikoma.
Polisi wanamaliza kesi wanavyotaka. Halmashauri pesa za serikali zinabutuliwa kama ubwbwa.
Mkuu wa nchi yupo busy kupambana kuwaridhisha mabeberu kuwa akina Mbowe wapo huru kufanya mikutano na anakunywa nao juisi za ceres Ikulu
Hakuna mlafi aliyemzidi MagufuliKwa hiyo kuna zama za kula mali za uma na zipi tena?
Basi kama hujui upumbavu wakoKivipi?
Ila jamani ,Mungu ni fundi sanatena umeongea point
Mkapa alifunga Mawaziri wa Mwniyi kina Kiula
Jakaya kafunga Mawaziri, Paymaster General Mgonja, Balozi hadi akavuliwa hadhi ya Ubalozi, Waziri Mkuu na mawaziri kadhaa wakapoteza vyeo wakati wa Jk ikiwa ni pamoja na kuweka reports za ukaguzi hadharani
unapambanaje na ufisadi kwa kudidimiza uhuru wa habari ?
Watanzania hawaitaji demokrasia uchwara ila wanapenda kuwaona watu wasiojulikana wakifanya kazi yaoInasaidia nini kupiga soga na kina Mbowe na kuonyesha umma kuwa mnademokrasia wakati mali za umma zinaibiwa na wananchi wanateseka. Hizi ni demokrasia uchwara
Sasa hivi akina mama wakienda kujifungua imekuwa biashara. Huko nyuma haya mambo yalikoma.
Polisi wanamaliza kesi wanavyotaka. Halmashauri pesa za serikali zinabutuliwa kama ubwbwa.
Mkuu wa nchi yupo busy kupambana kuwaridhisha mabeberu kuwa akina Mbowe wapo huru kufanya mikutano na anakunywa nao juisi za ceres Ikulu
Mleta mada uko sahihi, upigaji wa fedha za umma ni mkubwa.
Ukwepaji wa kodi kwa wafanyabiashara ni mkubwa pia.
Weka uthibitisho hapa na si unapayuka tu kama wale ambao marinda hayapoMleta mada uko sahihi, upigaji wa fedha za umma ni mkubwa.
Ukwepaji wa kodi kwa wafanyabiashara ni mkubwa pia.
Hili liko wazi, ni Mjinga pekeee ,Tena Msoga gan, au Upinzani uchwara au Vyeti Feki nahawa janja janja ndio watapinga.
Ukweli nikwamba, Samia kashindwa kudhibiti Rushwa, nidhamu Kwa watumis imeporomoka , Wizi wa Fedha za Umma umeongezeka.