Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu

Ingependeza sana lakini ni waste opportunity kwa Mbowe kwenda kuwatuliza.. huyu ,Mbowe labda na yeye ni wao... watu wana hasira yeye anaeenda kuwatuliza, angewaachia wajimwambafy na kutoa hasira au duku duku zao...
Huyu Mbowe amewakuta hao Wa tanga wapolee, ingekua Songea mbna wangeanza na yeye, aachage ujinga wa maridhiano butuu.

Au ana maslahi na haya yanayoendelea? Simuelewagi kabisaa. Lol
 
Marehemu Ally Hassan Mwinyi alijiuzuru uwaziri huo kwa mauaji yaliyotokea Shinyanga mwaka sikumbuki kwa mauaji ya Imani za kishirikina Tena waliuana kwa vifaa vya jadi,sembuse bunduki!
Alijiuzulu baada ya kila kitu kuwa wazi na serikali ikionekana ina makosa ya dhahiri, suala la Mwinyi ni tofauti na hili la Kibao ambalo halina ushahidi wenye kujitosheleza.

Tatizo la CHADEMA ni siasa za kishamba za kupenda kuona mifarakano ikitokea kati ya serikali na vyama vya siasa.

Hawezi kujiuzulu waziri bila ya kuwepo ushahidi kamili wa suala hili kwa mapana yake.
 
Si wanadai walijitambulisha kwamba wao ni polisi!
 
Tanga safiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Ccm maseng£ Sana haya majitu ,yaani yanaua watu na bila aibu yanahudhuria misiba na kuropoka huko , mazafakaz ,huyo fala wangemfukuza hapo msibani
Useng£ sana huu

Ninachukia fala anayesema kwamba hamna uthibitisho kwa ni polisi ndio wamehusika wakati ni wiki tatu tu zimepita tangia akina Sugu ,Mnyika nk watekwe na polisi mbeya na kwenda kupigwa sana na kujeruhiwa , huyo Sugu wakampeleka hospitali gani hapo Dar na mfumo ni ule ule wanawachukua watu na kuwasafirisha umbali mrefu kwenda kuwatesa na kuwaumiza na kuwatelekeza , wamefanya hivyo hivyo kwa akina Sativa pia .

Leo hii tunaongea akina soka ,Twaha na wengine wamepotea mpaka muda huu hawajulikani walipo na mara ya mwisho wamechukuliwa na watu waliojitambulisha kuwa ni polisi .
 
Tunapoelekea wawe wanafukuzwa kabisa hata wasikaribie. Unafiki wa waziwazi watu wamechoka. Walisema utekaji ni drama sasa ameenda kuangalia drama? Anaombea dua drama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…