cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Huyu Mbowe amewakuta hao Wa tanga wapolee, ingekua Songea mbna wangeanza na yeye, aachage ujinga wa maridhiano butuu.Ingependeza sana lakini ni waste opportunity kwa Mbowe kwenda kuwatuliza.. huyu ,Mbowe labda na yeye ni wao... watu wana hasira yeye anaeenda kuwatuliza, angewaachia wajimwambafy na kutoa hasira au duku duku zao...
Au ana maslahi na haya yanayoendelea? Simuelewagi kabisaa. Lol