Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
Inategemea dua inasomwa na nani , Kama ni muuaji huyohuyo huo unakuwa ni uchuro, Wanasema Adui unaemuweza usimuachie MUNGU, shughulika naeWewe Mungu? Dua inaelekezwa kwa Mungu wewe unaikatiza kwa kuzomea wewe ndie Mungu mjibu dua?
Watu dua ikipigwa hunyamaza sababu anayepelekewa ni Mungu sio wewe kibaka uliye kwenye mazishi