Ni Wa- Afrca wote kwa ujumla wao, na mazingira yao. na vitu yao. lakini wale watu wasomi wa juu hasa hasa waliosomeana kuishi western countries wana tabia za kizungu zungu hivi. kitajiritajiri, kipesa pesa, wanaongea kizungu fluently, bila kuchomekea maneno ya kiswahili kama Tatanyarusare ruya Mtibita. hawanuki vikwapa wala majasho, hata asipo pafyume. wana harufu kama sukari iliyokaangwa kwa mbaaali hivi. siyo malimbukeni.
Wa africa wanaoishi maeneo machafu machafu, na mitaro ya maji kunuka, hakuna maji bomba bali wanakunywa maji ya visima km vijijjini vya chumvi, nyumba hazipo kwenye mpangilio mzuri halafu zimebanana, muda wowote zinabomolewa.
wanakula sana vitumbua na chai za rangi asubuhi .sometimes kiporo cha ubwabwa wa nazi. kama Kipawa ya zamani- kushoto. Tabata kwa chura, Mombasa, kwa mtogole, Temeke wailes nk, vitoto viiingi na miziki mingi inafanya kuwe na kelele km quater za polisi vijana.
wenyeji wengi wana kaa mbele ya vibaraza kila wakati. wakiona mtu msafii anapita karibu yao, basi mmoja wao anajifanya kuimba mchiriku, hapo ujue wamekutamani, ukiwapa mgongo tu, wananyamaza hapo ujue sasa wanateta. utasikia ''hawa wageni hapa!'' au hawa watoto ni wa Tatanyakibombo, wameshuka na pipa kuja kula krismas! AAAHAAAA!
HUO NDIYO USWAHILI MKUU UPO?