Kipala
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 3,763
- 700
Hao wote, sivyo?kweli kabisa majibu yamejitosheleza ahsante sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wote, sivyo?kweli kabisa majibu yamejitosheleza ahsante sana!
Mimi nikimuona mtu na kadi ya ccm huwa namuona mswahili sanaMtu akiwa na tabia za ajabu ajabu ( mbaya) anaitwa mswahili , makazi ya watu wenye maisha ya chini kama mwananyamara vingunguti kunaitwa uswahilini, ukiwa na tabia mbaya unaambiwa unatabia za kiswahili, dawa za kienyeji zinaitwa dawa za kiswahili.
So nini maana halisi ya kiswahili, uswahili, waswahili na waswahili ?
Mimi nikimuona mtu na kadi ya ccm huwa namuona mswahili sana
Mbona hata Burundi na Kenya wanaongea kiswahili?nao ni waswahili?Waswahili ni waongeaji wa kiswahili yaani Watanzania
Kama ndio lugha yao ya taifa jibu ndio kanuni inasema utambulisho wa lugha yako ya taifa na ikiwa ya asili siyo ya kuazima kutoka taifa jingine basi utatambulika kwa lugha yakoMbona hata Burundi na Kenya wanaongea kiswahili?nao ni waswahili?
ongezea hapo waislam huitwa waswahili na wakristoMtu akiwa na tabia za ajabu ajabu ( mbaya) anaitwa mswahili , makazi ya watu wenye maisha ya chini kama mwananyamara vingunguti kunaitwa uswahilini, ukiwa na tabia mbaya unaambiwa unatabia za kiswahili, dawa za kienyeji zinaitwa dawa za kiswahili.
So nini maana halisi ya kiswahili, uswahili, waswahili na waswahili ?
Ukisikia mtu anamwambia mwenzake wa uswahilini ujue yeye anajiona Mzungu. Ila akifika uzunguni anatengwa anaambiwa yeye MTU mweusi hana nafasi uzunguni.Mtu akiwa na tabia za ajabu ajabu ( mbaya) anaitwa mswahili , makazi ya watu wenye maisha ya chini kama mwananyamara vingunguti kunaitwa uswahilini, ukiwa na tabia mbaya unaambiwa unatabia za kiswahili, dawa za kienyeji zinaitwa dawa za kiswahili.
So nini maana halisi ya kiswahili, uswahili, waswahili na waswahili ?
Ebu niione.Umefanya nijikague kwenye wallet yangu kumbe na mie mswahili
HayaEbu niione.
Iko wapi sasa?Haya
Sitaki kusadiki kwamba ukisikia neno "mswahili au uswahili" huelewi kabisa maana yake najua kuna maana unayoipata aidha moja au zaidi.Mtu akiwa na tabia za ajabu ajabu ( mbaya) anaitwa mswahili , makazi ya watu wenye maisha ya chini kama mwananyamara vingunguti kunaitwa uswahilini, ukiwa na tabia mbaya unaambiwa unatabia za kiswahili, dawa za kienyeji zinaitwa dawa za kiswahili.
So nini maana halisi ya kiswahili, uswahili, waswahili na waswahili ?