Tafsiri halisi ya neno Mswahili

cc: FayzaFox
 
Uswahili kiswahili n.k nivitu vya hovyohovyo visivyo na mpangilio ,fujo, ujaja, penye kutaka vigu bila ya kufanya kazi. Kiufupi kitu swahili ni tus kwa mtu anayejua maana halis. Pitia kamus huru
 
kichwa cha apo juu chahusika
Mswahili-mjuzi wa kiswahili
Najua kuna watakao dhani maana ile nyingine ya mtu muongo, mhuni mhuni, au mtu wa mwambao wa pwani

Najua watu mpo mnaokijua kiswahili vizur

DOCUMENTARY - kwa kiswahili lina maana gan'


Kma kuna neno linakutatiza waweza kuliandika najua wapo watu wanaweza kua wanalijua

Pamoja sana ...
 
Hii ramani ya Wapi ? Sambia, kenia,hiyo Kilimanjaro nimeshidwa ata kuinakili ni shida
 
Wadau mswahili ni nani mbona wote tunaongea kiswahili ila kuna baadhi wanaitwa waswahili pamoja na kwamba wana lugha za makabila yao wengine hapana?
 
Hata wakenya ukiwaita waswahili wanachukia vibaya Sana wenyewe huwaita watu wa pwani. Mombasa plain kushika chini Tanga mpaka unguja
 
Kwa kumbukumbu zangu za seco zinaniambia kuna maana 5 ya neno "Mswahili"
  • Mtu mjanja mjanja
  • Mtu anayeongea kiswahili
  • Mtu anayeishi maeneo ya pwani
Zingine malizieni nimesahau
 
Kaka No comment, Ila Mswahili atakuja na hoja ya kukosoa
 
Waswahili wanajua mengi,ustaarabu ulianzia kwao,akiwa amesoma ni mwerevu hat kama amesoma ni mwerevu.
Wanaishi mjini hivyo wanaona mengi.Wamefanikiwa kuenezabutamaduni wao bara zima la Afrika na dunia imeanza kuiga.
Huongea kiswahili fasaha.
Mademu wao wanajua kujipamba na kumtunza mme,wanaume wa kiswahili mke kwao ni pambo sio katapila la kumzalishia.Hawapigi wake zao bali hupiga kwa upande wa kanga.
Huoa wake wengi kwa sababu hawapendi uzinzi.nk nk wataendeleza waswahili wenzangu.
 
Wadau mswahili ni nani mbona wote tunaongea kiswahili ila kuna baadhi wanaitwa waswahili pamoja na kwamba wana lugha za makabila yao wengine hapana?
Waswahili watu was pwani na wrote waliokubali kupokea uislamu na mambo ya Asia na Arabu.Waswahili wamesambaa nchi nzima karibu kila kabila sasa lina waswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…