Thiago Silva
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 322
- 177
1. Mkaazi wa Upwa wa Afrika Mashariki (Kutokea Sofala hadi Barawa, Somalia na visiwa vilivyo ndani yake)
2. Mtu yeyote anayezungumza lugha ya Kiswahili
3. Mkaazi wa maeneo duni yanayofahamika kama 'Uswahilini'
4. Mtu mwenye tabia za zinazoonekana za ajabu kwa watu walioamili ustaarabu wa kisasa. Unaweza kusikia "Anapenda sana umbea, ana mambo ya Kiswahili.
5. Anayeamini au kushiriki katika Ushirikina nae huitwa Mswahili.
Naamini nimejibu swali lako kwa kiasi fulani, karibu!
kweli kabisa majibu yamejitosheleza ahsante sana!