Maana naona paka keshalala chali... sasa na hii wiki iliyobarikiwa na preta, hatukawii kuichakachuaHA HA HA HA itasaidia naiona ikelekea kuleee
Ili tuwaenzi wadada watupendao sana wa JF, wiki hii ni chakachua free week.Maana naona paka keshalala chali... sasa na hii wiki iliyobarikiwa na preta, hatukawii kuichakachua
Hahahhaha jamani na huu unene imekula kwangu chocolate siachi kamwe!! By the way nitumie via PM au blututh hahahaha
Sasa huyu paka ndo kusema?......
haaa Mbu sorry kumbe nimegundua nina mabadiko 5000 tayari
mabibi na mabwana, makofi tafadhali kwa Mwenyekiti! Notwithstanding pumba na mchele lakini habari ndo hiyo
Nyamayao kipenzi, hebu fanya kautaratibu wageni wapate walau soda leo!
:focus::focus:
Unajua ukiishi na mwenzio mnajuana, siyo siku zote watu lazima mlale kwa kukumbatiana au kufanya tendo la ngono. Kuna siku you feel to be alone in bed, ugeukie huku na mwenzio ageukie kule.
hawa ninachoona mimi ni wana relax.
Ili tuwaenzi wadada watupendao sana wa JF, wiki hii ni chakachua free week.
...'kalala' chali? mnh...anategea tu hapo! kumbe nyie mlikuwa hamu msomi Nyamayao mkamuelewa ee???! ha ha ha..
Mods wako bize na uchaguzi....
hiyo ndio niliitumia jikoni, hapo nimevaa ka g-string.....bwana weee, hujaumia lakini hushikiki popote mpaka ashike mahala nyeti.
unajua nimeshangaa mpaka sasa hii thread haijapelekwa kwa wakubwa,kweli busy na uchaguzi.....
Mods wako bize na uchaguzi....Naona mods wamepelekwa kuwa waangalizi wa uchaguzi
...acheni kubeep basi, mweehhh...
Jumatatu ijayo muda kama huu mnadhani tutakuwa na muda wa kujadili haya?
Sheikh Yahya keshasema 'mmoja atakufa', mimi nausubiria tu huo msiba hapa.
Jamaa anawaza, .....mmh! huyu hanijui, ngoja kesho, I will call sick in the office, then naenda zangu kupumzika na yule Eliza wa IFM.
mimi nawaona kama wanajutia!
'hapaliki wala hapalaliki!'
...hawa lazima ndoa yao haijavuka hata honeymoon period.
unajua nimeshangaa mpaka sasa hii thread haijapelekwa kwa wakubwa,kweli busy na uchaguzi.....