Tafsiri kwa Picha!

Tafsiri kwa Picha!

black-relationship-loyalty.jpg

halafu dada wa nyuma ni kama alikuwa anavizia kitu unaona pozi hilo
 
Picha haionyeshi miguu, there is a lot of messages out there too .................... trust me :smile:
 
...upo deep sana, duuuhhh!
Mpaka umenihuzunisha. Yeah, you might be right.
Ila kimtizamo huoni kuwa Mwanaume ame face 'a challenge' wakati Mw'mke ametoa mgongo?
mbona ya kutoa mgongo kawaida tu .............. mamaK akishapindua tu antoa mgongo mei nakabaroof mikono chini ya nyonyoz ...usingizi wa pono ..........:glasses-nerdy:
 
ha ha ha, hivi ume note jamaa yupo bare chested wakati mwanamke 'kalala na nguo?'
ana hila nini huyu?!

Ndio maana nikasema miguu ina message kubwa tu ............... chini unaweza ukakuta kalala na
jeans ................:smile-big:
 
Utabadilika vipi naye ukimgusa anakwambia, "Tafadhali naomba usiniguse." halafu anasogea mbali zaidi nawe.
A%20S-confused1.gif

Halafu ziko sna hizi ndani ya nyumba, mi huwa nawashaa sometyme ati jamaa kachepuka bila kujiuliza sababu .......... I am
not justifying the unjustifiable .............. just another way of lookin at it ....
 
the best way to avoid this one is to pray together before sleeping and to be a comedian, women like jokes alot... try it
Acid ................. not all of em ....:bowl:
 
...nachokupendea 1stLady huoni ajizi kutoa mtazamo wako kwa jinsia yako. Safi sana.
Ladies wengi naamini watakuunga mkono.





...THE KING, unatafsiri kwa mfumo dume weye...msome 1stLady hapo juu na mtazamo wake unaolenga hisia za kina dada/kina mama.
Anyway, kwa mtizamo wa kiumeni...unadhani ni busara kuuchapa usingizi na kumuacha mamsapu na simanzi bin majonzi tele?

Niliwahi kuusiwa, kutolala mpaka baada ya kulizungumza na kukubaliana kutatua jambo lililokera ili kesho yake mnaamkia na siku mpya na mambo mapya.
Hongera kwa kupata anayesikiliza ................. wengine ukiuliza swali ............ jibu ni kimya ........... baada ya 5 minutes utasikia wanakoroma, wewe kesha alafu kesho yake ushindwa hata kufanya kazi junior alale njaa .......... ni mtazamo tu :bowl:
 
......Hapa bana walimaliza kufanya mchezo wa baba na mama, mwanamke hakufikishwa kunako(kileleni)......mwanaume baada ya kumaliza tu akaanza kukoroma ndio maana mdada anaonekana kama ana mawazo vileeeeeeeeeee!!!
ukiona ivo ujue siombunifu na hajui anataka nini, si unajaua wanaanza na sitaki nataka na at the end inakula kwao.........
 
Du, mazee hawa wadada wa siku hizi umvue bila ridhaa yake si kesho utajikuta kwa pilato na Tamwa wako pembeni wanakukoromea! usijaribu hiyo kitu kabisa, kama hataki na wewe una mahanjamu basi mkuu ingia zako bafuni na kipande chako cha sabuni, ukimaliza rudi zako kitandani geukia upande mwingine uvute usingizi!

Hahahh ................ :smile-big: na kweli maana uzalilishaji wa kunyima na tendo haujaniingia bado kama mmeshahlalisha, ......... ivi kuna
TAMA ...itabidi ianzishwe soon ..
 
Kaizer kwani wanakalia migongo?

Khanga za India zinamfaa kila bidada mradi tu awe mbunifu. Wawezaitumia hata kufungia kibwebwe kumchezea mwenzio ngoma.

yaah, nyonyoz pia zinakuwa easly reachable hahah sio lazima kalio tu ................
 
cheka uongeze cku za kuishi....kuna kipindi alinigomea yeye kabisa, yaani alinichunia haswaa, bac shughuli ikanipata, mara upo jikoni unajifanya jiko limeleta shoti bac unapiga ka ukelele, akija huko c amekacrika? anakukuta umejilaza chini, ukishika mkono unalia, ukishikwa shingo unaumia, umepatwa na nn hujibu, ukishikwa kiuno hapo hapo na wewe unang'ang'ania,...lol nyumba zina mambo jamani....hapo huwa nampaga ya funga mwaka....hata kupikwa cku hiyo hakuna mtaenda kula nje.

Siku nyingine ikiwa kweli umeumia isije ikawa tabuuu ...............ila umenimaliza mbana utakuwa unatumia nguvu nyingi namna hiyo
na ukiona hivyo ujue ulilikoroga wewe
 
cheka uongeze cku za kuishi....kuna kipindi alinigomea yeye kabisa, yaani alinichunia haswaa, bac shughuli ikanipata, mara upo jikoni unajifanya jiko limeleta shoti bac unapiga ka ukelele, akija huko c amekacrika? anakukuta umejilaza chini, ukishika mkono unalia, ukishikwa shingo unaumia, umepatwa na nn hujibu, ukishikwa kiuno hapo hapo na wewe unang'ang'ania,...lol nyumba zina mambo jamani....hapo huwa nampaga ya funga mwaka....hata kupikwa cku hiyo hakuna mtaenda kula nje.

Nyamayao, naogopa kukuona ... you can really get anything you want from a MAN :wink1:
 

...hawa lazima ndoa yao haijavuka hata honeymoon period.
Nilikwambia legs can tell a lot, si unaona hapo, sijui kapatula sijui nini,......... hapo wanavuta kasi ..........
 
the sred made ma day though it was closed ....................... bado nakombeleza .........:croc:
 
Du! huyu dada anamuhisi jamaa ana mtu mwingine sehemu sehemu, wamebishana, jamaa kaamua kulala kuepusha malumbano:tape:
 
Mi tafsiri yangu ni kuwa huyo jamaa anapenda sana mpango wa kando..... na pia huenda hata akiwa kwa 6x6 huwa anavuta hisia za wengi ili aweze kuachama kileleni....
 
Pengine palikuwa na ugomvi kabla ya kupanda kitandani
 
Kuna misunserstanding betwen the twos :smile-big:
 
Back
Top Bottom