Okay sawa asanteMkuu Mshana jr ni vile tu umebarikiwa kuandika kwa hisia, kwa hili la picha nakupinga kwa 100% hakuna ukweli wowote katika suala la picha.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Hii kitu ya ajab sana. Yaani wakajipanga na kuonesha mtiririko kuwa mara baada ya mzee nitasimama mimi Arap, ukifuatia weye Kibaki halafu huy bwamdogo Uhuru. Huu ndo mtiririko. Baadaye waje wengine wasiofahamika.
Asante mshana jr
Ndoa ipo salama tu, mtoto kafata kwa babuuu in Bushoke's voiceView attachment 567794hii picha inayozunguka mitandaoni, naamini kabisa wakati wahusika wanaipiga hawakujua madhara yake
Na cha kushangaza zaidi, Mchungaji ambaye ndio anahisiwa kuwa baba halisi wa mtoto akakaa upande wa mtoto, hii sio coicedence ni spiritually pre-planned... Ya gizani huumbuliwa na nuru....... Sijui hii ndoa iko kwenye hali gani kwasasa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji102] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Ndoa ipo salama tu, mtoto kafata kwa babuuu in Bushoke's voice
Picha zote zinahusika! Ufunuo wake huja baada ya kitambo kidogo
Halafu si unamuona mkono wake wa kulia umemshika mama mtoto mgongoni yaani huyo jamaa hapo hana chake unless otherwise ana matatizoMchungaji ambaye ndio anahisiwa kuwa baba halisi wa mtoto akakaa upande wa mtoto, hii sio coicedence ni spiritually pre-planned.
Duu kweli aisee muunganiko bila kupangaalafu si unamuona mkono wake wa kulia umemshika mama mtoto mgongoni yaani huyo jamaa hapo hana chake unless otherwise ana matatizo
Mkuu naomba uniume sikio. Hao ulioongelea ndokinani?alafu si unamuona mkono wake wa kulia umemshika mama mtoto mgongoni yaani huyo jamaa hapo hana chake unless otherwise ana matatizo