Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Dah kuna kitu nimeamini katika picha, nimerejea picha zangu za zamani toka utotoni ila nimejikuta nadondokwa na machozi.

Nilikuwa sijui picha zina maana gani ila sasa hv nadhani nitakuwa makini katika kuchunguza picha na maisha ya mbeleni.
 
Dah kuna kitu nimeamini katika picha, nimerejea picha zangu za zamani toka utotoni ila nimejikuta nadondokwa na machozi.

Nilikuwa sijui picha zina maana gani ila sasa hv nadhani nitakuwa makini katika kuchunguza picha na maisha ya mbeleni.
Kila atakayejaribu kufanya hivyo lazima atakuja na ushuhuda wa ajabu wenye majonzi furaha au hata mshangao
 
Habari kaka Mshana,

Hizo ni coincidence tu hazina uhusiano na nguvu wala miujiza yoyote kila jambo ni vile unavyolitazama, mimi sikubaliani na wewe.

Kama picha ilipigwa zamani kivipi leo niione sawa wakati nyakati zinabadilika? ni lazima nione mabadiliko mengi tu kwa kua muda nao umepita ipo hivyo tu.

Nikipiga picha leo na mbuzi wangu nyumbani baada ya miaka mitano yule mbuzi hatakuwepo labda amechinjwa au vyovyote na mimi pia nitakua pengine kama asili ya maisha ilivyo hakuna nguvu wala nini inayotumika hapa.
 
Dah kuna kitu nimeamini katika picha, nimerejea picha zangu za zamani toka utotoni ila nimejikuta nadondokwa na machozi.

Nilikuwa sijui picha zina maana gani ila sasa hv nadhani nitakuwa makini katika kuchunguza picha na maisha ya mbeleni.
Hiyo ni hali ya kawaida ya maisha

Ulitaka hizo picha ziwe sawa na leo?

Hata ukipiga nyingine leo kesho itabadilika kulingana na maisha yanavyoenda.
 
Habari kaka Mshana;

Hizo ni coincidence tu hazina uhusiano na nguvu wala miujiza yoyote kila jambo ni vile unavyolitazama mimi sikubaliani na wewe...

Kama picha ilipigwa zamani kivipi leo niione sawa wakati nyakati zinabadilika? ni lazima nione mabadiliko mengi tu kwa kua muda nao umepita ipo hivyo tu

Nikipiga picha leo na mbuzi wangu nyumbani baada ya miaka mitano yule mbuzi hatakuwepo labda amechinjwa au vyovyote na mimi pia nitakua pengine kama asili ya maisha ilivyo hakuna nguvu wala nini inayotumika hapa
Benny

Naamini kabisa hukuelewa kabisa nilichoandika,! Ni hivi sizungumzii picha yako na mtu fulani au kitu fulani nazungumzia picha za makundi na hicho unachoita coincidence.

Kuna picha sipo nazo hapa lakini picha ya kwanza walipiga watu saba chini ya mtu watatu walikaa kushoto na wane walikaa kulia! Wale wane walikuja kufa kwa kufuatana kwa miezi minne mfululizo.

Picha nyingine jamaa wakiwa sekondari siku ya mahafali walipiga picha ya kumbukumbu wanafunzi kama kumi hivi na mabinti wa shule ya jirani.

Kwenye ile picha kuna kijana mmoja alikuwa kachuchumaa na binti mmoja halafu mwingine alikuwa kasimama pia na binti...baada ya miaka kupita kila mmoja bila kutegemea alimuoa binti aliyekuwa naye karibu na siku wanakutana kwenye kuangalia album mmoja ndio akakumbuka hilo tukio
 
Benny naamini kabisa hukuelewa kabisa nilichoandika,! Ni hivi sizungumzii picha yako na mtu fulani au kitu fulani nazungumzia picha za makundi na hicho unachoita coincidence

Kuna picha sipo nazo hapa lakini picha ya kwanza walipiga watu saba chini ya mtu watatu walikaa kushoto na wane walikaa kulia! Wale wane walikuja kufa kwa kufuatana kwa miezi minne mfululizo
Picha nyingine jamaa wakiwa sekondari siku ya mahafali walipiga picha ya kumbukumbu wanafunzi kama kumi hivi na mabinti wa shule ya jirani

Kwenye ile picha kuna kijana mmoja alikuwa kachuchumaa na binti mmoja halafu mwingine alikuwa kasimama pia na binti...baada ya miaka kupita kila mmoja bila kutegemea alimuoa binti aliyekuwa naye karibu na siku wanakutana kwenye kuangalia album mmoja ndio akakumbuka hilo tukio

Nimekupata mkuu mshana Ila tukubaliane hilo ni kwenye baadhi ya picha, sio kwamba kila picha hubebwa kwa nadharia hiyo.

Btw urewedi m'bwange?
 
Back
Top Bottom