Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia vizuri hiyo picha Kandoro na Komba wako pamoja na wote ni RIP[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Jr[emoji769]
[emoji32][emoji40][emoji40][emoji40]Nimeona hilo kiongozi... Hivi huyo mwenye kikombe cha kijani kilichoficha uso ni nani...??? Umeona nguo imefanana rangi na huyo wa juu... The same to Kandoro wa chini yake... Nae sijui ni nani
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji123][emoji123][emoji123]Hapa ni mtu kaambiwa "Wewee!!?" Nae akajibu "Siyo mimi, siyo mimi" [emoji23][emoji23]
TAFSIRI YANGU: nafasi aliyonayo Lisu kama Mnadhimu mkuu Upinzani huwenda ikachukuliwa na huyu Mh. Nasari awamu ijayo, na tusishangae Lisu akaja kuwa Spika wa Bunge letu.
View attachment 1031518
VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
Mkuu mada zako huwa nazikubali sana na me ss naomba nianze naomba unipe hiyo ratiba nianze kuifata kuanzia leoJitahidi hapo kwanza la sivyo huko kwingine hutaweza fika
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji123]Mkuu mada zako huwa nazikubali sana na me ss naomba nianze naomba unipe hiyo ratiba nianze kuifata kuanzia leo
Sent using Jamii Forums mobile app
siku mkianza kujadili umekuwa mgumu sikuhizi kuelewa!😆😆😂Videos ni motion pictures haziwezi kulingana na muktadha wa hii mada
Jr[emoji769]
sikuuliza kuhusu ufafanuzi ila video je hazipo kirohoNimetoa ufafanuzi
Jr[emoji769]
zipiKila unachokiona hapa duniani kina panda mbili
Jr[emoji769]
unaweza kuthibitisha kuwa kuna ulimwengu wa rohoKimwili na kiroho
Jr[emoji769]
sijuiNitafanya hivyo ukiweza kuniambia roho ninini ama una uelewa gani kuhusu roho
Jr[emoji769]