Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Dah@..Wamegeuza majinsi,means watageuza bara wanaloishi,from Africa to Europe.
Amefunga kitanzi peke yake,means.............malizia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzima kabisa....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]labda katika ulimwengu wa rohoMzima kabisa....
Itakuwa kafa kwenye hizo picha zinazoongea labda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Mada hii imenifanya niangalie picha hii kwa kutafakari sana
1.waliosimama katikati........ 2.waliokenua meno......
Duh ndio waliofariki pamojaView attachment 1338969
Sent using Jamii Forums mobile app
habari, inawezekana hata akipiga picha haionekani!!?Mshana jr. Kali kuliko zote nimewahi ziona ni mtu kuibiwa kivuli chake, yani hata asimame juani hakionekani.
2020 Dr Shein anastaafu, hao wengine wawili wanabaki serikali, huyu Kangi kashatolewa kwenye mfumo.. [emoji23][emoji23] Picha zinatoa ujumbe mzito sana ulio jificha na ulio waziAliyejitenga keshatengwa.... Lakini baada ya miaka mitatu hii picha inaweza kutuongezea tafsiri View attachment 1339044
Jr[emoji769]
Mbatia Naye mda si mrefu atafuata
Wazee wa jeneza wanaangalia tuView attachment 1423689
Sijjaelewa
Jr[emoji769]