Duh same yeah... same disease...!!!
Jr[emoji769]
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Jr[emoji769]
Picha?!! Acha tu....Duh same yeah...same disease...!!!
Jr[emoji769]
Picha: Kutoka Kitabu Cha Historia Ya Raisi Mkapa, – Benjamin Mkapa (wa kwanza kushoto) akiwa na rafiki zake Phillip Magani (mwenye kofia) & John Kambona (wa kwanza kulia) wakati huo wakiwa wanafunzi Saint Francis College (sasa Pugu Sekondari). Kulingana na historia kwenye kitabu, baadaye Mkapa na rafiki yake Philip Magani walioa wanawake ndugu.Ni nani hawa
Jr[emoji769]
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Picha: Kutoka Kitabu Cha Historia Ya Raisi Mkapa, – Benjamin Mkapa (wa kwanza kushoto) akiwa na rafiki zake Phillip Magani (mwenye kofia) & John Kambona (wa kwanza kulia) wakati huo wakiwa wanafunzi Saint Francis College (sasa Pugu Sekondari). Kulingana na historia kwenye kitabu, baadaye Mkapa na rafiki yake Philip Magani walioa wanawake ndugu.
Mwanzo Uzi nilianza kuuelewa lkn sasa hv kwa hizi logic za kuungaunga, nimegudua jamaa alitaka kunifanya kama vile Gwajima anavyowafanya kondoo wake. Nimeshtuka
[emoji2357][emoji2357]Muda ni hakimu mzuri..save the post
Jr[emoji769]
Kwa hiyo apo picha katika ulimwengu wa roho amna kitu????Haya mshana tunakusubiri.View attachment 1519450