elly obedy
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 803
- 1,482
Mmh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh!
Ya kwanza waliiambata pamoja na ya pili akajitenga na sasa ametangulia.
Hii kama vile mzee kajitenga na wenzake watatu.
Kwa akili ya kawaida kwani hao wengine si lazima wafe Sasa Nini shida...Mmoja amefariki View attachment 1501207
Yeye peke yake ndiye amekanyaga zuria jekundu
Huu Uzi umejaa ujnga Sana hivi tukipiga picha leo kwani baada ya miaka 100 mnashangaa wote kwenye kufa ?Black civil rights leaders kwenye picha ya pamoja mwaka 1963, John Lewis amefariki Friday juzi kwenye picha ni wa Kwanza/mwisho kushoto. Ndiye pekee aliyekua amaebaki hai , Luther alikua wa kwanza kufa.View attachment 1511714
Ya kwanza waliiambata pamoja na ya pili akajitenga na sasa ametangulia.
Hahaha Sasa mtu Yuko na miaka 80+ hukutaka afe !!!Kwa kweli pindi mzee wetu Mengi alipotutoka nakumbuka siku ya mwisho kumuona kwa Tv moyoni lilikuja wazo tu kama kuna kitu ila sikujua ni nini baada ya muda tu likatokea jambo, pia kwa mzee wetu nakumbuka siku ya mkutano mkuu ilinitokea kama vile vile alikuwa mtu wapekee kati ya wote nilio kuwa nawaangali ila sikujua kwa nini, ila nimejifunza kitu, tuwe makini sana na sauti zinazotujia kwa nadra sana, huwa zinataarifa muhimu sana. Watch out.
Kwahiyo ukikanyaga zulia jekundu ndio unakufa ? Mbona nyuma yao Kuna kundi la watu wamekanyaga zulia jekundu vipi na wao wamekufa wote hahahaha huu Uzi umejaa upumbavu saaanaYeye peke yake ndiye amekanyaga zuria jekundu
Huu Uzi umejaa upumbavu Sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Logic za kuokoteza hizi, kwanini usiitumie picha ya walioungana!?
Yaani wewe???
AiseeSave this... For future reference.. This time next year View attachment 1504479
Mtu anaweka picha halafu anshangaa kwanini wamekufa ....Mwanzo Uzi nilianza kuuelewa lkn sasa hv kwa hizi logic za kuungaunga, nimegudua jamaa alitaka kunifanya kama vile Gwajima anavyowafanya kondoo wake madhabauni. Nimeshtuka
Ina maana aliyekanyaga red carpet ndo basi tena[emoji24]
Kila tunapoona upuuzi lazima tukemee .... Kama tulivyokemea huu upuuzi uliokutokeaMkuu kwanini unapoteza mda wako kwenye uzi wa kipumbavu huoni kama wewe ndio mpumbavu?
Unataka kutuaminisha kwamba ulifunuliwa kufa kwa Mengi na Mzee Mkapa!? Hahahah so funny, soon utasikia nawe una kanisa lakoKwa kweli pindi mzee wetu Mengi alipotutoka nakumbuka siku ya mwisho kumuona kwa Tv moyoni lilikuja wazo tu kama kuna kitu ila sikujua ni nini baada ya muda tu likatokea jambo, pia kwa mzee wetu nakumbuka siku ya mkutano mkuu ilinitokea kama vile vile alikuwa mtu wapekee kati ya wote nilio kuwa nawaangali ila sikujua kwa nini, ila nimejifunza kitu, tuwe makini sana na sauti zinazotujia kwa nadra sana, huwa zinataarifa muhimu sana. Watch out.
Kweli Kabisa, Yan watu huku ukiamua kuwapelekesha unawapelekesha haswaKila tunapoona upuuzi lazima tukemee .... Kama tulivyokemea huu upuuzi uliokutokea
Imeniuma sana, mke wangu anatembea na baba yake mdogo
concentrate kwenye carpetYa kwanza waliiambata pamoja na ya pili akajitenga na sasa ametangulia.