Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Black civil rights leaders kwenye picha ya pamoja mwaka 1963, John Lewis amefariki Friday juzi kwenye picha ni wa Kwanza/mwisho kushoto. Ndiye pekee aliyekua amaebaki hai , Luther alikua wa kwanza kufa.View attachment 1511714
Huu Uzi umejaa ujnga Sana hivi tukipiga picha leo kwani baada ya miaka 100 mnashangaa wote kwenye kufa ?


Kufa kupo tu hata kabla ya camera kugunduliwa.


Yanayoendelea humu ni imani za kishirikina kutoka kwa vichwa vya kiafrica.
 
Kwa kweli pindi mzee wetu Mengi alipotutoka nakumbuka siku ya mwisho kumuona kwa Tv moyoni lilikuja wazo tu kama kuna kitu ila sikujua ni nini baada ya muda tu likatokea jambo, pia kwa mzee wetu nakumbuka siku ya mkutano mkuu ilinitokea kama vile vile alikuwa mtu wapekee kati ya wote nilio kuwa nawaangali ila sikujua kwa nini, ila nimejifunza kitu, tuwe makini sana na sauti zinazotujia kwa nadra sana, huwa zinataarifa muhimu sana. Watch out.
Hahaha Sasa mtu Yuko na miaka 80+ hukutaka afe !!!


Waafrica tuna shida Sana
 
Mwanzo Uzi nilianza kuuelewa lkn sasa hv kwa hizi logic za kuungaunga, nimegudua jamaa alitaka kunifanya kama vile Gwajima anavyowafanya kondoo wake madhabauni. Nimeshtuka
Mtu anaweka picha halafu anshangaa kwanini wamekufa ....


Ukiweka za vikosi kwa timu za mpira za miaka ya 1930 leo almost wote watakuwa wamekufa. Sasa kwa akili za kijinga za humu utashangaa wanaleta logic ya kipumbavu.


Haijalishi mmepiga picha au hamjapiga picha lazima watu wafe
 
Kwa kweli pindi mzee wetu Mengi alipotutoka nakumbuka siku ya mwisho kumuona kwa Tv moyoni lilikuja wazo tu kama kuna kitu ila sikujua ni nini baada ya muda tu likatokea jambo, pia kwa mzee wetu nakumbuka siku ya mkutano mkuu ilinitokea kama vile vile alikuwa mtu wapekee kati ya wote nilio kuwa nawaangali ila sikujua kwa nini, ila nimejifunza kitu, tuwe makini sana na sauti zinazotujia kwa nadra sana, huwa zinataarifa muhimu sana. Watch out.
Unataka kutuaminisha kwamba ulifunuliwa kufa kwa Mengi na Mzee Mkapa!? Hahahah so funny, soon utasikia nawe una kanisa lako
 
Back
Top Bottom