Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Wawili walikufa kwa vifo vya magonjwa ya uzeeni..wa kwanza kulia alikula shaba
JamiiForums645739751.jpg
 
Huyu jamaa amekufa kwa kugongwa na mwendokasi jana, 17/08/2020.......nyuma ya hio picha kuna gari zipo zimepaki, naye yupo katikati ya magari yaliyopaki, hayo magari mawili yaliyopaki yanamtazama yeye pekee...... Nadhani umeelewa kwa nini amekufa na mwendo kasi
JamiiForums-645573041.jpg
 
Huyu jamaa amekufa kwa kugongwa na mwendokasi jana, 17/08/2020.......nyuma ya hio picha kuna gari zipo zimepaki, naye yupo katikati ya magari yaliyopaki, hayo magari mawili yaliyopaki yanamtazama yeye pekee...... Nadhani umeelewa kwa nini amekufa na mwendo kasiView attachment 1541161
Dah..umeichambua vizuri sana
 
download.jpeg


Hao ni MaPress Secretaries ambao Nyerere aliwaamini sana, wa kwanza kushoto ni Habib Halahala, Paul Sozigwa, JKN, Bgr. Hashim Mbita na Benjamin Mkapa, wote wametangulia mbele ya Haki, wa kwanza kufariki ni halahala mwenye Suti Nyeusi Kushoto kabisa, na wa Mwisho kufariki ni Mkapa wa mwisho kulia

CC: Mshana Jr
 
View attachment 1541256

Hao ni MaPress Secretaries ambao Nyerere aliwaamini sana, wa kwanza kushoto ni Habib Halahala, Paul Sozigwa, JKN, Bgr. Hashim Mbita na Benjamin Mkapa, wote wametangulia mbele ya Haki, wa kwanza kufariki ni halahala mwenye Suti Nyeusi Kushoto kabisa, na wa Mwisho kufariki ni Mkapa wa mwisho kulia

CC: Mshana Jr
Duuu
 
Either way...positively or negatively
Mkuu vipi kuhusiana na ule msemo usemao kuwa maneno yanaumba kuna uhalisia wowote!?...nikimaanisha mtu au watu kukutamkia maneno mazuri/mabaya,mfano unaitwa kiongozi,Boss,mheshimiwa nk lakini hayareflect na uhalisia wa kawaida wa mtu.

Kwenye ulimwengu wa roho inakuwa vipi!?

Na jee baada ya kutamkwa na kutokea ni kitu gani ambacho kinakuwa kimehifadhi hayo maneno.
 
Mkuu vipi kuhusiana na ule msemo usemao kuwa maneno yanaumba kuna uhalisia wowote!?...nikimaanisha mtu au watu kukutamkia maneno mazuri/mabaya,mfano unaitwa kiongozi,Boss,mheshimiwa nk lakini hayareflect na uhalisia wa kawaida wa mtu.

Kwenye ulimwengu wa roho inakuwa vipi!?

Na jee baada ya kutamkwa na kutokea ni kitu gani ambacho kinakuwa kimehifadhi hayo maneno.
Ni kweli kabisa maneno huumba...maneno hutengeza roho..na maneno huua ama kuharibu...
Kuna nguvu kubwa kwenye maneno kwakuwa ni matokeo ya muunganiko wa nafsi hai na roho....kumbuka ulimwengu uliumbwa kwa neno tuu... MUNGU alitamka na ikawa...ni binadamu pekee ambaye hakuumbwa kwa neno
 
Ni kweli kabisa maneno huumba...maneno hutengeza roho..na maneno huua ama kuharibu...
Kuna nguvu kubwa kwenye maneno kwakuwa ni matokeo ya muunganiko wa nafsi hai na roho....kumbuka ulimwengu uliumbwa kwa neno tuu... MUNGU alitamka na ikawa...ni binadamu pekee ambaye hakuumbwa kwa neno
Shukrani mkuu,
Kwa hyo kwa asilimia kubwa maneno yanayotamkwa huwa lazima yaumbe..sivyo?
 
Back
Top Bottom