Waoh ,hii inafikirisha sana.Babu wa upande wa kulia kwa Ghadaffi ni nani?
Nimemkopi Sauti ya Mamlaka Anaweza kuja kutufafanuliaMkuu, wa pili toka kushoto na wa pili toka kulia nipe majina yao.
Hao wengine ninawakumbuka vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntaleta mrejesho wakuuNimemkopi Sauti ya Mamlaka Anaweza kuja kutufafanulia
From left to right Bashir Sudan, Ben Ali Tunisia, Salehe Yemen, Ghadafi Libya, Mubaraq Egypt, Compaore Burkina Faso and Mugabe Zimbabwe.Ntaleta mrejesho wakuu
Aiseeee[emoji848]
Habari mkuu @mshanajr. Kuna nadharia kuwa watu ambao uliwahi ku-associate nao inatoa tafsiri ya wewe utafikia wapi kimalengo. Je kuna ukweli?Picha ni sehemu ya mwili wako iliyo nje yake wachawi na waganga huroga katika baadhi ya matukio kwa kutumia picha na kinacholeta uhai uhalisia na mawasiliano ya kiroho ni sura.
Dah kweli
Huyu siku si nyingi atahamia CCM
Balaah!
So..what means the next one is[emoji26]