kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
Ushukuriwe asee angalau nimemuona Kwa Mara ya mwisho!View attachment 1731454
Pumzika kwa amani tulioshindwa kuaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushukuriwe asee angalau nimemuona Kwa Mara ya mwisho!View attachment 1731454
Pumzika kwa amani tulioshindwa kuaga
Kavideo hauna mkuu!? Hata ni PM?View attachment 1731454
Pumzika kwa amani tulioshindwa kuaga
Mshana,hapa Kuna mantiki Kali Sana imejificha,inabidi kuiangalia Kama hiviTuihifadhi hii reply
Ben alitangaza kifo cha Mchonga, Magu akatangaza kifo cha Ben....Samia ametangaza kifo cha Magu... Mwinyi na Kikwete hawakuwahi kutangaza vifo...
Tuupe muda wakati utasemaMshana,hapa Kuna mantiki Kali Sana imejificha,inabidi kuiangalia Kama hiviView attachment 1731544
Kajitenga na wendazaoView attachment 1733268nimeona picha hii nikakumhuka huu uzi Mshana Jr ww sio mtu
Atauza copy nyingi sana aiseeItapendeza sana kama mshana ataandika kitabu kabisa kuhusu haya anayoyajua
Naanza kukuelewA Bro MSHANA hapo,wawili wameangaliana,wamecheka,na wameondoka hao wawili
Walioonyesha dole wote wameenda [emoji24][emoji24]Hii nayo inaleta msisimko View attachment 1735520