Hata ya kawaida hayapaswi kuachwa yapite bila kuandikwa.. Kwa kuyaandika tunafunza wengine vitu vipya vinavyoonekana vya kawaida kwa wengineMshana Jr mbona mambo ya kawaida hayo. Sio picha tu, hata ukisikiliza miziki uliyowahi kusikiza kama miaka mitano nyuma utajiwa na kumbukizi nyingi za matokeo yaliyo kutokea wewe au watu uliokuwa nao wakati huo na kuakisi hali halisi ya sasa
Ipo clear macho yao yanasema
nimemuona mama janet hapo juu kwa nyuma!!na sasa anaumwa na amebeba siri nzito kuhusu mume wake!!!Ipo clear macho yao yanasema View attachment 1816249
Anaumwa na nini?nimemuona mama janet hapo juu kwa nyuma!!na sasa anaumwa na amebeba siri nzito kuhusu mume wake!!!
Picha zinaogopesha sana!Ipo clear macho yao yanasema View attachment 1816249
Huyu mwamba aliyekunja 4 hewani ni weweHii picha imenifikirisha mno..ni picha ya miaka ya tisini tukiwa Durban South Africa.. Sisi watatu tuliokaa kwenye msingi bado tuko hai na wote sisi tuko JF.. Huyo aliyechuchumaa anaitwa Rama tolu na ni marehemu![emoji848][emoji2827]View attachment 1816028
2001 kwa 2021 hapo miaka 20 exactlyDmx & AaliyahView attachment 1750180
Yeah lakini sio hewani kabisa ni juu ya msingi na hiyo sio nne bali ni meditation postureHuyu mwamba aliyekunja 4 hewani ni wewe
Pichaimekaa kiutata!Yeah lakini sio hewani kabisa ni juu ya msingi na hiyo sio nne bali ni meditation posture
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah.. Nilikuwa sijafika stage ya kuelea hewani kwakweliPichaimekaa kiutata!
Aisee mtani nafanya sana mediation ya kulala chali naishia ile stage ya kuelea elea juu ya kitanda
Uko stage nzuri nakuhimiza endelea usiacheAisee mtani nafanya sana mediation ya kulala chali naishia ile stage ya kuelea elea juu ya kitanda
Duuuh binafsi kwa sasa najiona machale yameongezeka sana halafu najikuta ni mwenye furaha sana
Utumie na chumvi utaona matokeo bora zaidiDuuuh binafsi kwa sasa najiona machale yameongezeka sana halafu najikuta ni mwenye furaha sana
Sawa mkuu ila je nitafika mbali zaidi ya hapo kwenye kuelea elea??
Yeah unaweza kufika hatua ya kutoka nje ya mwili wakati uko mwiliniSawa mkuu ila je nitafika mbali zaidi ya hapo kwenye kuelea elea??
Hapana huko sitaki aiseeYeah unaweza kufika hatua ya kutoka nje ya mwili wakati uko mwilini
Sent using Jamii Forums mobile app