Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #1,321
Hata ya kawaida hayapaswi kuachwa yapite bila kuandikwa.. Kwa kuyaandika tunafunza wengine vitu vipya vinavyoonekana vya kawaida kwa wengineMshana Jr mbona mambo ya kawaida hayo. Sio picha tu, hata ukisikiliza miziki uliyowahi kusikiza kama miaka mitano nyuma utajiwa na kumbukizi nyingi za matokeo yaliyo kutokea wewe au watu uliokuwa nao wakati huo na kuakisi hali halisi ya sasa
Sent using Jamii Forums mobile app