Asante sana... At least tumepata ambayo si ya tafsiri mbaya bali nzuri ya mafanikioKwenye picha ni Fred vunjabei pamoja na Frank knows, wote wamekuwa na mafanikio kwenye maisha....PICHAView attachment 1863522
Hyo pembeni ya marehemu kijazi bado yuko hai??Asante mkuu naamin sasa View attachment 1863493
Duh..[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Memories remainedView attachment 1863959
Kimeumana au.
Nakubaliana na wewe ila naomba kuelimishwa kidogo, hiyo nguvu ya kiroho ni IPI? Roho ya Mungu au roho ya Shetani kwani hizi zote ni roho; yaani kuna ulimwengu wa roho wa Mungu na ulimwengu wa roho wa Shetani. Any way nasubiri mavituzi kwenye eneo hilo la swali langu. Asante.Picha zinaongea, picha zinaishi picha zinatoa ujumbe maalum usioonekana kwa macho ya kawaida mpaka wakati ufike
Ukipata muda chukua album yako ya picha pitia picha za zamani ulizopiga na marafiki ndugu jamaa na hata watu usiowafahamu
- angalia mpangilio wa jinsi watu walivyosimama au kukaa nk
- angalia mpangilio wa rangi au mavazi
- angalia body language
Kwa mshangao wa ajabu utakuta kwenye picha fulani watu fulani waliosimama pamoja siku huyo au kuchuchumaa au kuvaa nguo za aina moja nk
- wote wamekufa
- wote ni matajiri
- wote wameoa/wameolewa nyumba moja
- wote tabia zao zinafanya nk
Kwa mshangao mkubwa angalia body language utajikuta unaona kabisa hao
- walikuja kuoana
- walikuja kuwa maadui wakubwa
- walikuja kuwa marafiki wa damu nk
Tunapojipanga tupige piga na kubadili badili mikao na nafasi si kwa akili zetu bali kuna nguvu nje ya ufahamu wetu nguvu ya kiroho ndio inafanya kazi
Ni nguvu hiyo inayoamua:
Usimame wapi na kwa nini
Ukae wapi na kwa nini
Ufuatane na nani na kwa nini
Umtazame nani na kwa nini
Ni nguvu ya uvutano kwenye ulimwengu wa roho inayotengeneza matukio yote haya na huja kudhihirika baada ya kipindi fulani kupita...haya yanatokea si kwa utashi wetu wala uamuzi wetu wala nguvu zetu
Sijapata picha nyingine lakini naomba kuweka hii
- angalia mfanano wa rangi za mavazi
- body language
- nafasi kwenye kusimama
- umbali na ukaribu
Unafikiri walipanga kwa makusudi huu mkao?
Kila asili ya nguvu kiroho na hata kimwili ilikuwa ya Kimungu mpaka pale ibilisi shetani alipomuongopea Eva pale Eden...Baada ya wawili hao kufukuzwa Eden shetani alikabidhiwa mamlaka ya ukuu wa anga...lakini bado hata hivyo asilimia zaidi ya 70 bado ziko chini ya umiliki wa KimunguN
Nakubaliana na wewe ila naomba kuelimishwa kidogo, hiyo nguvu ya kiroho ni IPI? Roho ya Mungu au roho ya Shetani kwani hizi zote ni roho; yaani kuna ulimwengu wa roho wa Mungu na ulimwengu wa roho wa Shetani. Any way nasubiri mavituzi kwenye eneo hilo la swali langu. Asante.
Kila asili ya nguvu kiroho na hata kimwili ilikuwa ya Kimungu mpaka pale ibilisi shetani alipomuongopea Eva pale Eden...Baada ya wawili hao kufukuzwa Eden shetani alikabidhiwa mamlaka ya ukuu wa anga...lakini bado hata hivyo asilimia zaidi ya 70 bado ziko chini ya umiliki wa Kimungu
"Baada ya wawili hao kufukuzwaEdenshetani alikabidhiwa mamlaka ya ukuu wa anga" hadi pale Yesu Kristo, aliye hai, alipomshukia kuzimu na kumnyang'anya ufunguo wa mauti na kuzimu na hivyo kutuweka huru na kuchukua mamlaka na madaraka aliyojipa Shetani mwenyewe/binafsi- kwani hakupewa hayo mamlaka na Mungu!Kila asili ya nguvu kiroho na hata kimwili ilikuwa ya Kimungu mpaka pale ibilisi shetani alipomuongopea Eva pale Eden...Baada ya wawili hao kufukuzwa Eden shetani alikabidhiwa mamlaka ya ukuu wa anga...lakini bado hata hivyo asilimia zaidi ya 70 bado ziko chini ya umiliki wa Kimungu
Unataka kutuelezea nini? Au ni ule uunganishaji wa mambo na matukio kwa nia ya kuonesha ubahati mbaya au ubahatishaji na bad coincidencies kwa mhusika?!Hii ni tofauti kidogo na muktadha wa mada lakini bado tafsiri yake kiroho inasadifuView attachment 1849731
Padre Haule amefariki?Rip padre HauleView attachment 1899168
Uzi utaishi sana huu.Rip padre HauleView attachment 1899168