Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Memories remained
Screenshot_2021-07-22-23-42-43-37.jpg
 
N
Picha zinaongea, picha zinaishi picha zinatoa ujumbe maalum usioonekana kwa macho ya kawaida mpaka wakati ufike

Ukipata muda chukua album yako ya picha pitia picha za zamani ulizopiga na marafiki ndugu jamaa na hata watu usiowafahamu

  • angalia mpangilio wa jinsi watu walivyosimama au kukaa nk
  • angalia mpangilio wa rangi au mavazi
  • angalia body language

Kwa mshangao wa ajabu utakuta kwenye picha fulani watu fulani waliosimama pamoja siku huyo au kuchuchumaa au kuvaa nguo za aina moja nk

  • wote wamekufa
  • wote ni matajiri
  • wote wameoa/wameolewa nyumba moja
  • wote tabia zao zinafanya nk

Kwa mshangao mkubwa angalia body language utajikuta unaona kabisa hao

  • walikuja kuoana
  • walikuja kuwa maadui wakubwa
  • walikuja kuwa marafiki wa damu nk

Tunapojipanga tupige piga na kubadili badili mikao na nafasi si kwa akili zetu bali kuna nguvu nje ya ufahamu wetu nguvu ya kiroho ndio inafanya kazi

Ni nguvu hiyo inayoamua:

Usimame wapi na kwa nini
Ukae wapi na kwa nini
Ufuatane na nani na kwa nini
Umtazame nani na kwa nini

Ni nguvu ya uvutano kwenye ulimwengu wa roho inayotengeneza matukio yote haya na huja kudhihirika baada ya kipindi fulani kupita...haya yanatokea si kwa utashi wetu wala uamuzi wetu wala nguvu zetu

Sijapata picha nyingine lakini naomba kuweka hii

  • angalia mfanano wa rangi za mavazi
  • body language
  • nafasi kwenye kusimama
  • umbali na ukaribu

Unafikiri walipanga kwa makusudi huu mkao?

Nakubaliana na wewe ila naomba kuelimishwa kidogo, hiyo nguvu ya kiroho ni IPI? Roho ya Mungu au roho ya Shetani kwani hizi zote ni roho; yaani kuna ulimwengu wa roho wa Mungu na ulimwengu wa roho wa Shetani. Any way nasubiri mavituzi kwenye eneo hilo la swali langu. Asante.
 
N

Nakubaliana na wewe ila naomba kuelimishwa kidogo, hiyo nguvu ya kiroho ni IPI? Roho ya Mungu au roho ya Shetani kwani hizi zote ni roho; yaani kuna ulimwengu wa roho wa Mungu na ulimwengu wa roho wa Shetani. Any way nasubiri mavituzi kwenye eneo hilo la swali langu. Asante.
Kila asili ya nguvu kiroho na hata kimwili ilikuwa ya Kimungu mpaka pale ibilisi shetani alipomuongopea Eva pale Eden...Baada ya wawili hao kufukuzwa Eden shetani alikabidhiwa mamlaka ya ukuu wa anga...lakini bado hata hivyo asilimia zaidi ya 70 bado ziko chini ya umiliki wa Kimungu
 
Kila asili ya nguvu kiroho na hata kimwili ilikuwa ya Kimungu mpaka pale ibilisi shetani alipomuongopea Eva pale Eden...Baada ya wawili hao kufukuzwa Eden shetani alikabidhiwa mamlaka ya ukuu wa anga...lakini bado hata hivyo asilimia zaidi ya 70 bado ziko chini ya umiliki wa Kimungu
Kila asili ya nguvu kiroho na hata kimwili ilikuwa ya Kimungu mpaka pale ibilisi shetani alipomuongopea Eva pale Eden...Baada ya wawili hao kufukuzwa Eden shetani alikabidhiwa mamlaka ya ukuu wa anga...lakini bado hata hivyo asilimia zaidi ya 70 bado ziko chini ya umiliki wa Kimungu
"Baada ya wawili hao kufukuzwaEdenshetani alikabidhiwa mamlaka ya ukuu wa anga" hadi pale Yesu Kristo, aliye hai, alipomshukia kuzimu na kumnyang'anya ufunguo wa mauti na kuzimu na hivyo kutuweka huru na kuchukua mamlaka na madaraka aliyojipa Shetani mwenyewe/binafsi- kwani hakupewa hayo mamlaka na Mungu!
 
Back
Top Bottom