Duh Gadaffi huyu wa Libya?Hawa ni Members (Washkaji wa Tupac) wa Kundi la Tupac "OUTLAWS". Tupac alikufa September 1996 na November 1996 akafa Member mwengine wa Kundi... Yafeu Akiyele Fula maarufu "Yaki Gadafi". Katika Picha hii, Tupac na Gadaf wote wamevaa Tshirt Nyeupe! Mshana Jr
View attachment 2062631
The foreseen futureThierry Henry na Kilian Mwakimbappe.
Tuwe tunachaguliaa watoto wetu watu wa Kupiga nao picha.
View attachment 2062650
SSHMr. Mshana angalia aliekaaa juu kabisa peke yake, kwa sasa ndie yuko juuu kuliko wote hapo chini
View attachment 2062722
Hiyo ilikuwa ni a.k.a yake sio gadafi ogDuh Gadaffi huyu wa Libya?
kwa hiyo unataka kuniambia mtu mbaya akiwa na picha yako tu anaweza kukuchezea mazingara akakuua kabisa?Picha zinaongea, picha zinaishi picha zinatoa ujumbe maalum usioonekana kwa macho ya kawaida mpaka wakati ufike
Ukipata muda chukua album yako ya picha pitia picha za zamani ulizopiga na marafiki ndugu jamaa na hata watu usiowafahamu
- angalia mpangilio wa jinsi watu walivyosimama au kukaa nk
- angalia mpangilio wa rangi au mavazi
- angalia body language
Kwa mshangao wa ajabu utakuta kwenye picha fulani watu fulani waliosimama pamoja siku huyo au kuchuchumaa au kuvaa nguo za aina moja nk
- wote wamekufa
- wote ni matajiri
- wote wameoa/wameolewa nyumba moja
- wote tabia zao zinafanya nk
Kwa mshangao mkubwa angalia body language utajikuta unaona kabisa hao
- walikuja kuoana
- walikuja kuwa maadui wakubwa
- walikuja kuwa marafiki wa damu nk
Tunapojipanga tupige piga na kubadili badili mikao na nafasi si kwa akili zetu bali kuna nguvu nje ya ufahamu wetu nguvu ya kiroho ndio inafanya kazi
Ni nguvu hiyo inayoamua:
Usimame wapi na kwa nini
Ukae wapi na kwa nini
Ufuatane na nani na kwa nini
Umtazame nani na kwa nini
Ni nguvu ya uvutano kwenye ulimwengu wa roho inayotengeneza matukio yote haya na huja kudhihirika baada ya kipindi fulani kupita...haya yanatokea si kwa utashi wetu wala uamuzi wetu wala nguvu zetu
Sijapata picha nyingine lakini naomba kuweka hii
- angalia mfanano wa rangi za mavazi
- body language
- nafasi kwenye kusimama
- umbali na ukaribu
Unafikiri walipanga kwa makusudi huu mkao?
AiseeeMr. Mshana angalia aliekaaa juu kabisa peke yake, kwa sasa ndie yuko juuu kuliko wote hapo chini
View attachment 2062722
WANASEMA MCHAWI AKIWA NA PICHA YAKO ANAWEZA KUKUCONTROL KAMA HAUKO VIZURI KIIMANI...IS IT TRUE?Hakuna niliposema hivyo
Duh Gadaffi huyu wa Libya?
okayInategemea na nguvu aliyo nayo yeye
Hii ilikuwa graduation ya mwaka gani?Nadhan wote mlisikia kuhusu kifo cha uyu kijana wa UDOM, Mungu ampe pumziko la amaniView attachment 2056695
Baada ya hapo nini kinatokea mkuu?Haitofautiani sana
1. Wall meditation unakodolea macho ukuta na huku ukihesabu pumzi
2. Empty meditation unafumba macho na kuhesabu pumzi
Alivaa yeboyebo,wakati wengine wote mlivaa viatu vya kufunikaView attachment 2052050
Hii picha hii wakati tumaliza darasa la 7 mwaka 2006, angalia huyo jamaa hapo alikata picha ili apate picha ya passport size, yaan aliamua kujiondoa kwenye kwa kujikata hadi leo nafikilia sana whyyyyy