Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
Hata kukunja mikono hapo mbele aisee duhMungu wangu pekeyake ndio hajavaa kofia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kukunja mikono hapo mbele aisee duhMungu wangu pekeyake ndio hajavaa kofia
[emoji23][emoji23] aiseeeHii ilikua mechi ya hisani kupinga madawa ya kulevya na Rushwa, Maradona Team no to Drugs, na Michael Platini No to Corruption na katikati Peĺe.
Miaka kadhaa baadae , Maradona akashtakiwa kwa madawa ya kulevya, na Platini aliekua Rais wa UEFA amekutwa na hatia ya kupokea Rushwa.
Pele ambae yuko katikati yao, hajawahi kukutwa na kashfa ya madawa wala ya Rushwa
Walivojipanga Rich Mavoko alianza kutoka, akaja Harmonize, Anayemfuatia ni Rayvann je nae siku zinahesabika??![]()
Picha itaongea hii tusubiri
Rayvann ndio anaefatia kutoka WCB??[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] tusubiri
kwamba 2 PAC yupo hai?
Walivojipanga Rich Mavoko alianza kutoka, akaja Harmonize, Anayemfuatia ni Rayvann je nae siku zinahesabika??
P8a inawezekana rich kamla Queen hahahahaWalivojipanga Rich Mavoko alianza kutoka, akaja Harmonize, Anayemfuatia ni Rayvann je nae siku zinahesabika??
Duh..hadi naogopaIla Hapa!
Ukuu wa Mungu umebambaView attachment 2101463
Sijaielewa hiiHifadhi hiiView attachment 2104832
Enzi hizo fid q akiwa mweusi tiii na sura yake halisiAngalia aliyekaa.. View attachment 2093809
Masikini mzee ruksa......Ila Hapa!
Ukuu wa Mungu umebambaView attachment 2101463
Hivi huyo anayekula kiapo ni nani?Hawa wote hapo chini, kasoro mmoja wamefariki katika kipindi cha chini ya mwaka mmoja, huyo aliyezungushiwa duara amefariki leo hii asubuhi
Mshana Jr njoo utoe nenoView attachment 1723577
msaada wa kitabu Cha Mkapa, kinapatikana wapiPicha: Kutoka Kitabu Cha Historia Ya Raisi Mkapa, – Benjamin Mkapa (wa kwanza kushoto) akiwa na rafiki zake Phillip Magani (mwenye kofia) & John Kambona (wa kwanza kulia) wakati huo wakiwa wanafunzi Saint Francis College (sasa Pugu Sekondari). Kulingana na historia kwenye kitabu, baadaye Mkapa na rafiki yake Philip Magani walioa wanawake ndugu.
Somebody mahiga alikuwa waziri wa katiba na Sheria au mambo ya nje sikumbuki vizuriHivi huyo anayekula kiapo ni nani?