Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Mambo Mengine ni fikra tu,hapo kwa lipumba,slaa,mbatia,hakuna common denominator,slaa,na lipumba wote ni pro ccm,lipumba ni mwenyekiti wa cuf -ccm,profesa,mwenyeji wa tabora ,mnyamwezi,Mbati-kaletewa figisu na mapandikizi ya ccm ndani ya nccr,ni mchaga,msomi,slaa alikuwa padre,!!
Cha upekee ni kipi hapo?
 
Wamevaa suti zinazofanana rangi, Ruto amekaa kulia mwa Kenyatta, mkono wa mamlaka au madaraka kuashiria yeye ndiye anayekwenda kuyapokea madaraka hayo kutoka kwake.

Aliyevaa suti yenye rangi tofauti ameashiria kujiondoa kwenye nafasi ya kupata urais ukizingatia amekaa upande wa kushoto mwa Rais Kenyatta kuashiria less power.
 
Good [emoji818][emoji817]
 
Bado Uhuru na Odinga wamewekewa meza katikati yao kama mpaka (meza) yaani hata kusogeleana haiwezekani but kulia kuna kipenzi cha Uhuru kiasi kwamba hata wakitaka kuteta jambo ni rahisi kusogeleana it's means hawa jamaa ni marafiki haswa wa mtimani na Odinga yupo mbali nao mpk anaingia kaburini

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…