Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii emoji vipi[emoji40]
Jr[emoji769]
Kuna picha nilipiga na rafiki yangu 2018 kwenye simu yangu, nyingine tulipiga 2020 kwenye simu yake ila mazingira ni tofauti ila yanakaribia kufananaUkimya huongea kwa sauti kubwa kuliko kupaza sauti[emoji344][emoji350]
Hapo namjua Kijazi, Mahiga na Magufuli. Huyo mwingine nani?Watatu hapo wamepukutikaView attachment 1723573
Hizi zipoje mkuu? Navutiwa sana na tahajudiHapana hii sijawahi fanya mimi nimefanya sana:
Empty meditation
Wall meditation
Breathing meditation
AmazingHabari mkuu mshana jr shukrani sana kwa mada yako. Siku ya kwanza nilipoona uzi wako huu, sikuamini kwa asilimia 100% kile ulichokuwa umeandika. Lakini ilipofika mwezi wa tisa, nilirudi nyumbani, na baada ya kuchukua albamu, niliangalia picha za utotoni (ndizo pekee nilizonazo). Nilipoangalia picha ya mahafali ya darasa la saba, mimi peke yangu katika picha, ndiye niliyekuwa nimevaa shati tofauti na wengine. Niliporudisha kumbukumbu, nikakumuka, tulikuwa tumepanga kununua kitenge flani, siku ya kununua kitenge hicho, wenzangu walikwenda bila kunishirikisha. Walirudi na kunionyesha kitenge walichonunua, na nilipojitahidi kutafuta, nilitafuta hadi nikachoka na wakanishauri nitafute angalau kinachokaribiana rangi. Kifupi, nina mfumo tofauti na hao wote wa uingizaji wa hela. Wao wote wameaajiriwa serikalini, kasoro mimi.
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]View attachment 1725463
Nafikiria kwa ukimya mkuu, katika picha zote.[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Naam