Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda alivyokuwa raisi alienda tembelea wafungwaDuh...ya lini hii? Sikuwa hewani Leo
NobodyMmh hao wafungwa ni kina nani?
Hii picha imenifikirisha mno..ni picha ya miaka ya tisini tukiwa Durban South Africa.. Sisi watatu tuliokaa kwenye msingi bado tuko hai na wote sisi tuko JF.. Huyo aliyechuchumaa anaitwa Rama tolu na ni marehemu![emoji848][emoji2827]View attachment 1816028
Unaweza kuwa watatu kufariki kama kigezo cha mkono wa kuume wa aliyetangulia kikifuatwa.Yeah lakini sio hewani kabisa ni juu ya msingi na hiyo sio nne bali ni meditation posture
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh binafsi kwa sasa najiona machale yameongezeka sana halafu najikuta ni mwenye furaha sana
Chumvi unaitia wapi mkuu
UnaogeaChumvi unaitia wapi mkuu
Mkuu kwanini unaogopa "kifo"?[emoji2][emoji2][emoji2]sio lazima ifuate sequence
Ni mlozi aliyestaafu.Naomba biograph ya Mshana Jr...
Akifariki akiwa madarakani tena kabla ya Rais mwingine wa Afrika italeta maana zaidi.For future referenceView attachment 1842917
Sio uongo ni ukweliAcha uongo bhana...
Habari za kitambo mkuu?