Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisema 7 ni kamilifu unamaanisha nn
Aiseh!!kama walipika matokeo ya mwendazake Basi kipara atapikiwa na Huyu mzee wa meno ya tembo!!Hawakuwa nayeView attachment 2171609
Ukisema 7 ni kamilifu unamaanisha nn
Mzee wa meno ya tembo Anaweza pewa nchi HII tena hivi karibuni!!na tusishangae!!Kuna siku hii picha itaongea..ngoja tuupe muda wakatiView attachment 2176860
AISEH sisi tusiokuwa na historia kwenye Koo zetu sijui tutachomokea wapi!!Hapana yeye ni master mind tuu.. Mzee wa fitina.. Ila Riz moko anaratibiwa...
Asili!!YAANI asili ya UKOO wa uongozi au asili GANI!!?Asili itachukua mkondo wake..
Asili inayoendesha ulimwengu wa rohoMb
Naogopaaaaa kuna kitu tuu dahKuna siku hii picha itaongea..ngoja tuupe muda wakatiView attachment 2176860
Baki ya hilo hujaona hao waliosimama woote ni tycoonsKuna siku hii picha itaongea..ngoja tuupe muda wakatiView attachment 2176860
hivi huyu wa kushoto ndo george mkuchika