Ibun Sirin
Member
- May 20, 2022
- 50
- 106
Ndoto hii inaonya dhidi ya kupuuza jukumu, kuota kuzaa kawaida huelekeza kwenye kitu kipya kinachokuja au karibu kutokea. Kitu cha kufurahisha! pia humaanisha kitu kipya kinaweza tokea hivi karibuni. Pia husahiria ustawi na furaha, kutarajia heshima na urahisi katika maisha.Nimeota nimezaa mtoto wa kike halafu amekua mkubwa haraka tofauti na watoto wengine
Tukio hilo linatokea mchana au usiku!? Nyumba ni ya kupanga au unamiliki? na vipi baada ya tukio hilo huenda kukagua kuhakiki nini kimetokea? Je hakuna nyumba jirani iliyokaribu zaidi na kuta zako? Tokio hilo hutokea mara ngapi kwa kipindi gani?Mimi hii cyo ndoto ila nikwamba nikiwa ndani kwangu tumekaa labda sebuleni huwa tunaskia maji yakimwaga chooni(public ),au mlango wa chumbani ukijifunga wakati hakuna hata upepo yaani
Msaada inakuwa ni nini? Hicho?
huyo ni jini mahabaNimeota nimezaa mtoto wa kike halafu amekua mkubwa haraka tofauti na watoto wengine
huyu ni jini mahaba kma upo dar au kma utaweza kusafiri mpk dar nikupe no ya muaguaji mzuri atakusaidiaHii n mara ya pili naota naolewa wakati hata huyo mchumba sina but leo nmeota naolewa na kila kitu yan bado masaa machache kuolewa but sijui kilitokea nn nkawa sijaolewa na kusahau kama nlitaka kuolewa kuna baadhi ya ndugu wakawa wananikumbusha swala la kuolewa masaa machache yaliyopita imeishia wapi but nkawa sikumbuki kama nlitaka kuolewa (yan nlikuwa sina kumbu kumbu ya hilo tukio)ndugu yangu mmoja akanishikisha kama bangili nkaanza kukumbuka mlolongo mzima wa kutaka kuolewa tena mara 2 but ndoa zote hazikufanikiwa nkaanza kulia hii imekaaje?