Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Lbd kama ulikua na mahusiano na kubwa jinga.Ukiachwa sababu huna pesa utajua tuu huwa hamjifichi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lbd kama ulikua na mahusiano na kubwa jinga.Ukiachwa sababu huna pesa utajua tuu huwa hamjifichi
Meanwhile tumia mlenda vuguvugu kupoza genyeKuna open letter moja niliiona inasema usidate ukiwa broke/umechacha, tafuta pesa uwe vizur na huna stress ndo udate
Nyie mlivyo hamnaga heshima, mnatuchanga live kabisaaa.Unadhani utajua kama uliachwa kisa huna pesa.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji817]Tuzitafute kwa juhudi zoteee
1. Mkwanja
2. Mawe
3. Sabuni ya roho
4. Mpunga
5. Madafu
Call it whatever ila MONEY BUYS ANYTHING YOU WANT.
If you think money can't buy Happiness then go and ask the jobless and homeless.
#YNWA
😂😂😂😂 Shida mnatembea na watotoNyie mlivyo hamnaga heshima, mnatuchanga live kabisaaa.
Tutembee na wakubwa ambao mileage kubwa ya nini😂😂😂😂 Shida mnatembea na watoto
Nashangaa anauliza utajua tu ataanza kukuomba vitu ambavyo anajua lazma uchemke then boom...Nyie mlivyo hamnaga heshima, mnatuchanga live kabisaaa.
Alokwambia wakubwa wote km zimesoma sana ni nani?!Tutembee na wakubwa ambao mileage kubwa ya nini
Wee cha msingi ni kupata uteleziAlokwambia wakubwa wote km zimesoma sana ni nani?!
Mnaokoteleza sana tena kama ww mhhh
Mzabzab karibu tulale.🤨🤨Wee cha msingi ni kupata utelezi
Tulale mchana wote huu jamani, usiku takuja kulala.Mzabzab karibu tulale.🤨🤨
Eeh wacha aje aipashe pashe mbususu moto ili nikija mie ni kufaidi tuuNgoja nimuite Da'Vinci
Naona unalinga sana.
Mapenzi pesa HAIMAANISHI kumpa mwanamke pesa tu yenyewe mapenzi au penzi Kama chimbo kinahitaji Operation Cost ambayo ni pesa bila pesa hata Outing tu itakushi da, Gifting, hata Meeting nk hivi tuvitu vidogovudogo ndio mapenzi yenyewe Kama uko empty penzi linaboa hasa so hata Kama mwanamke hataki hata 100 penzi linahitajiPesa ni kivutio cha malaya, ukiwa nazo tu malaya wengi sana watataka wakuvulie chupi ila wenye mapenzi na kuvutiwa haswa na utu wa mtu wao huitaji hata 100
Binafsi hamna ambaye hana hata 100 dunia hii! Labda mtoto anayenyonya na kutambaa. 😀Mapenzi pesa HAIMAANISHI kumpa mwanamke pesa tu yenyewe mapenzi au penzi Kama chimbo kinahitaji Operation Cost ambayo ni pesa bila pesa hata Outing tu itakushi da, Gifting, hata Meeting nk hivi tuvitu vidogovudogo ndio mapenzi yenyewe Kama uko empty penzi linaboa hasa so hata Kama mwanamke hataki hata 100 penzi linahitaji
Hawatuwezi na hii iko wazi,,, Nako2Nako Soldiers 🤣🤣🤣Kwangu uje na hoja ya kuoa, uniambie nioe nikiwa nakibunda
ila kuhusu hizi pisi tunajilia hizo hizo zenu na hatuwapi hata mia
Uchizi ni kutafuta hela kisa hawa wasista duuu
Nimevaa chupi ya chuma.Eeh wacha aje aipashe pashe mbususu moto ili nikija mie ni kufaidi tuu
Nitakuja kuiona hiyo chupi ya chumaNimevaa chupi ya chuma.
Haya sawa utoe taarifa nisije wagoganisha.Nitakuja kuiona hiyo chupi ya chuma