GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,880
- 11,134
Usipokuwa na malengo na maono ya mbali utaishia kujadili maisha ya wana ccm na wanasiasa mpaka uzee wako huku hakuna faida unayopata zaidi ya kutengeneza duara la umaskini Katika familia yaani (Family poverty life cycle)
Mawazo yako ndio msimamo wa maisha ya watoto na wajukuu zako baadae,
Usipotafuta pesa za kutosha na kujenga familia imara utaishia kuilaumu serikali wakati wote na kuwaita waliowekeza kwa watoto wao mafisadi
Usipoangalia Faida na hasara Katika maisha kwa kila jambo unalofanya utakuwa na matatizo makubwa na umaskini mkubwa
Ulimjadili Rais Mkapa mwaka 1995-2005. Je, ulipata faida kiasi gani?
Ulimjadili Kikwete J mwaka 2005-2015. Je, ulipata faida kiasi gani?
Ulimjadili Magufuli JP mwaka 2015 mpaka 2021. Je, ulipata faida kiasi gani?
Na sasa unamjadili Chief Hangaya, Mama ambaye amejaza mapesa mtaani, Tenda kila kona ya nchi. Je, umepata faida kiasi gani?
Tangu mwaka 1995 hapo juu ungechukua maamuzi magumu ya kuunga mkono upande wa siasa zenye faida mwanao sasa angekuwa na miaka 27 na tayari ungekuwa umempenyeza kwenye siasa za Tanzania
Cha kushangaza yawezekana wewe na mtoto mpo hapa JF mnarudia makosa yale yale ya kujadili hasara badala ya upande wenye faida hivyo mzunguko wa umaskini wa Familia ni endelevu (an endless family poverty life cycle)
Lazima uunge mkono upande unaopata faida na sio upande unaopata hasara, Hakuna anayefanya biashara ili kupata hasara, Siasa za Tanzania ni kazi na ajira kama kazi zingine za Engineers, Doctors, Bankers, Architect
Hakuna mtu awe mbunge atakaye kupigania wewe upate maendeleo wakati wewe mwenyewe hutaki kupiganiwa na kuchagua upande wake wenye Faida
Tafuta pesa na tambua siasa za Afrika na Tanzania nia ajira, Tunawapigia watu Kula na sio kura
Jitafakari unalofanya lina faida na chukua hatua mapema
Katika maisha ni lazima kupima mambo kwa kuangalia faida na hasara, je ni faida gani unapata ukiwa mwana ccm na ni hasara gani unapata ukiwa Chadema?
Mawazo yako ndio msimamo wa maisha ya watoto na wajukuu zako baadae,
Usipotafuta pesa za kutosha na kujenga familia imara utaishia kuilaumu serikali wakati wote na kuwaita waliowekeza kwa watoto wao mafisadi
Usipoangalia Faida na hasara Katika maisha kwa kila jambo unalofanya utakuwa na matatizo makubwa na umaskini mkubwa
Ulimjadili Rais Mkapa mwaka 1995-2005. Je, ulipata faida kiasi gani?
Ulimjadili Kikwete J mwaka 2005-2015. Je, ulipata faida kiasi gani?
Ulimjadili Magufuli JP mwaka 2015 mpaka 2021. Je, ulipata faida kiasi gani?
Na sasa unamjadili Chief Hangaya, Mama ambaye amejaza mapesa mtaani, Tenda kila kona ya nchi. Je, umepata faida kiasi gani?
Tangu mwaka 1995 hapo juu ungechukua maamuzi magumu ya kuunga mkono upande wa siasa zenye faida mwanao sasa angekuwa na miaka 27 na tayari ungekuwa umempenyeza kwenye siasa za Tanzania
Cha kushangaza yawezekana wewe na mtoto mpo hapa JF mnarudia makosa yale yale ya kujadili hasara badala ya upande wenye faida hivyo mzunguko wa umaskini wa Familia ni endelevu (an endless family poverty life cycle)
Lazima uunge mkono upande unaopata faida na sio upande unaopata hasara, Hakuna anayefanya biashara ili kupata hasara, Siasa za Tanzania ni kazi na ajira kama kazi zingine za Engineers, Doctors, Bankers, Architect
Hakuna mtu awe mbunge atakaye kupigania wewe upate maendeleo wakati wewe mwenyewe hutaki kupiganiwa na kuchagua upande wake wenye Faida
Tafuta pesa na tambua siasa za Afrika na Tanzania nia ajira, Tunawapigia watu Kula na sio kura
Jitafakari unalofanya lina faida na chukua hatua mapema
Katika maisha ni lazima kupima mambo kwa kuangalia faida na hasara, je ni faida gani unapata ukiwa mwana ccm na ni hasara gani unapata ukiwa Chadema?