Mnakuaga wapi mpaka Mali zenu zitumie majina ya Mwanamke.??
MKE SIO NDUGU YAKO, NDUGU YAKO NI WATOTO.
UNAWEZA KUFA HAPA LEO ..BAADA YA MATANGA MKEO AKAOLEWA UPYAAAA NA AKAONDOKA NA KILA KITU .
Ukweli ni Kwamba, Mwanamke anatakiwa afanywe kua Mtegemezi yaan kuanzia kula yake, kuvaa kwake, Kupendeza kwake, Kila kitu chake kikutegemee wewe na nenda mbali zaidi HAKIKISHA HATA HISIA ZAKE ZINAKUTEGEMEA WEWE KAMA CHANJO CHA FURAHA YAKE NA HUZUNI ZAKE.
Sasa weee Umekutana na Mtanga, mpaka Kila kitu jina la mwanaume, ndo hayo Sasa ona !!.
HATA IVO LAZIMA, UAPE, MIMI BINFASI, HAITOKAA KUTOKEA, MTU ADHULUMU HAKI ZANGU, AWE MWANAMKE, AWE MWANAUME.
TENA HIZI SIJUI, MAUJINGA YA SHERIA ,ET SIJUI JINA LAKE , JINA LAKE WHAT,?? NDO UACHE MALI ULIZOPAMBANA ZIENDE KIRAHISI RAHISI KISA SHERIA !??
KUDHULUM NI KUDHULUM, IWE KWA NJIA ZA KISHERIA AU LAH, KUDHURUMU NI DHURUMA TU NA DHURUMA HULETA KIFO.
UKIDHULUMU, UWE TAYARI KUFA..