Tafuta pesa, hakuna mwanamke wa mtu

kijana wa dukani kwako kapindua meza ya boss, kweli pata pesa utahamisha hata makaburi ya mtaa mzima
 
Pumbavu una akili kweli wewe? Sasa nyumba, gari vina jina la mtu mwingine utasemaje ni vyako? Unataka kumtapeli mtu? Nawe tafuta vyako andika jina lako.
Itakuwa wewe ndio mwanasharia wake
 
Kama ulipambana kuvipata pia utapambana utapata. Huko kwenye ushirikina huwa Hakuna mshindi. Ukimroga ndugu zake nao watakupa. Maadamu ushazaa nae, mwachie akaishi na huyo kijana wa dukani. Ulianzaje SAsa kuandika jina lake bila lako.
Upendo na kumuamini ndio vimezaa hayo
 
Kama ulipambana kuvipata pia utapambana utapata. Huko kwenye ushirikina huwa Hakuna mshindi. Ukimroga ndugu zake nao watakupa. Maadamu ushazaa nae, mwachie akaishi na huyo kijana wa dukani. Ulianzaje SAsa kuandika jina lake bila lako.
Upendo na kumuamini ndio vimezaa hayo
 
Kama ulipambana kuvipata pia utapambana utapata. Huko kwenye ushirikina huwa Hakuna mshindi. Ukimroga ndugu zake nao watakupa. Maadamu ushazaa nae, mwachie akaishi na huyo kijana wa dukani. Ulianzaje SAsa kuandika jina lake bila lako.
Upendo na kumuamini ndio vimezaa hayo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sina mbavu hoi uku mwamba kampambani mtu kiulainiNdomana vijana kila tukifkiria kuoa Bado tunaumiza vichwa Kwa ugai gai unaendelea zama hizi ni hatariiiiii

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
nenda msitu wa tembo simanjiro ulizia kwa Babu
 
Yaani haki kuipata ni shida sijui kwanini nataman hii kesi ingekuwa nchi nyingine tayari ningepata haki yangu yaani uyu mwanamke anatumia pesa na uchawi kuzima haki yangu.
 
Yaani haki kuipata ni shida sijui kwanini nataman hii kesi ingekuwa nchi nyingine tayari ningepata haki yangu yaani uyu mwanamke anatumia pesa na uchawi kuzima haki yangu.
 
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Sakata Rhumba achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa
..........hatujui kama tutaonana teena.
 
Unakwenda kwa mganga unakuta mganga mjomba wake, si ndio wanakumaliza tena🀣.
 
Mawazo ya mwanaume ndio haya sasa.tofauti na hapa basi itakua mwanaume anafikiria na kuwaza katika mawimbi ya mwanamke.

[emoji123]

Sent from my Nokia 3.4 using JamiiForums mobile app
 
Kama ulipata mara ya kwanza acha kupoteza muda na huyo mtanga.
 
Aiseeee pole sana kijana Allah akufanyie wepesi inshaallah
 
Mkuu ilikuwa pisi kali sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…